• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

ZAIDI YA BIL.48 ZAKISIWA KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO KASULU

Posted on: February 23rd, 2019


Baadhi ya Viongozi  walioshiriki Mkutano wa Baraza kujadili makisio ya Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2019/202. Kutoka Kushoto ni Katibu wa CCM(W) Ndg.Mashaka  Mshora, Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kan. Simon Anange, Diwani Kata ya Rusesa Mhe. Fabiano Doragi, Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Yohana Mshita, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kasulu Mha. Godfrey Kasekenya  mwishoni  ni Mhe.Josephine Genzabuke Mbunge viti Maalum Mkoa wa Kigoma.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kasulu Mha. Godfrey Kasekenya(kulia) Mwenyekiti wa Halmashauri Mh.Yohana Mshita (katikati) na Diwani wa Kata ya Rusesa Mh. Fabiano Doragi wakiwa katika Picha ya pamoja kabla ya kuanza Mkutano wa Baraza kujadili Bajeti  kwa Mwaka 2019/2020.Baadhi ya Wah. Madiwani wakifuatilia uwasilishwaji wa makisio ya Bajeti ya Halmashauri ya wilaya ya Kasulu kwa Mwaka 2019/2020 kwenye Ukumbi wa Halmashauri.

Na.Andrew Mlama.

Baraza la Madiwani wa Halamshauri ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma limepitisha Mapendekezo ya Bajeti ya mwaka wa fedha wa 2019/2020 yenye makisio ya  zaidi ya Shilingi bilioni 48.8 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo.

Akiwasililisha Bajeti hiyo, Afisa Mipango Takwimu na ufuatiliaji  wa halmashauri Ndg. Jackob Kilatu, amesema ili kukidhi mapendekezo hayo halmshauri inatarajia kukusanya kiasi hicho cha Fedha kutoka Serikali kuu na vyanzo mbalimbali vya  Mapato ya ndani ya halmashauri hiyo pamoja na wadau wa maendeleo.

Bajeti hiyo imejielekeza zaidi katika Elimu Afya na Maji kwa kukamilisha miradi ambayo iliyoanza kutekelezwa na haijakamilika pamoja na miradi mipya iliyoibuliwa na wananchi katika kata 21 za halmashauri.


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • PAMBA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

    May 08, 2025
  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.