• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

KASULU KUANDAA BONANZA LA MICHEZO KUHAMASISHA MWENGE WA UHURU NA UCHAGUZI MKUU

Posted on: September 1st, 2025

Na Mwandishi Wetu 

Katika kuhamasisha ushiriki wa wananchi kwenye shughuli za Mwenge wa Uhuru pamoja na maandalizi ya Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika baadae mwaka huu, Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma imepanga kuandaa Bonanza kubwa la Michezo litakalofanyika Jumamosi, Septemba 6, 2025.

Akizungumza leo, Jumatatu Septemba 1, 2025, katika kikao cha maandalizi ya Mwenge kilichokutanisha wadau kutoka sekta za umma na binafsi, Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Mhe. Kanali Isaac Mwakisu, amesema bonanza hilo litakuwa chachu ya mshikamano wa wananchi kuelekea matukio hayo muhimu ya kitaifa.

“Bonanza letu litafanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Kiganamo na litajumuisha michezo mbalimbali. Wananchi wote wanakaribishwa kushiriki, ambapo tutaanza na matembezi ya pamoja kuzunguka maeneo ya Kasulu mjini kisha kurejea viwanjani kwa michezo na shughuli za kijamii zitakazowaunganisha watu wa kada zote,” amesema Mhe. Mwakisu.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • KASULU KUANDAA BONANZA LA MICHEZO KUHAMASISHA MWENGE WA UHURU NA UCHAGUZI MKUU

    September 01, 2025
  • MPANGO WA UWAWA WAIBUA MATUMAINI MAPYA KATIKA SEKTA YA ELIMU KASULU

    August 20, 2025
  • MSAADA WA JKT WAOKOA ZAIDI YA MILIONI 13 KWA SHULE YA MGOMBE

    August 18, 2025
  • TANZANIA NA BURUNDI ZAANZA RASMI UJENZI WA RELI YA KISASA YA UVINZA-MUSONGATI

    August 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.