• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

KASULU DC YAKABIDHI KITUO CHA POLISI CHA KISASA CHENYE THAMANI YA MILIONI 114

Posted on: September 15th, 2025

Na Mwandishi Wetu 

Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma leo, Jumatatu Septemba 15, 2025, imekabidhi rasmi Kituo cha Polisi cha Nyakitonto kwa Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Mhe. Kanali Isaac Mwakisu. Kituo hicho chenye hadhi ya Daraja B, kimegharimu  shilingi milioni 114 na kimejengwa kupitia mapato ya ndani ya Halmashauri hiyo.

Akizungumza katika hafla hiyo, Mhe. Mwakisu ameipongeza Halmashauri kwa hatua hiyo akisisitiza kuwa kituo hicho kitatoa huduma za saa 24, jambo litakaloongeza ufanisi katika kuimarisha ulinzi na usalama wa wananchi.

“Halmashauri hii ni mpya, na maendeleo hayawezi kufanikishwa bila usalama. Uwepo wa kituo hiki utakuwa chachu ya maendeleo mapya. Watu wataanza kuhamia, kujenga makazi na shughuli za kijamii na kiuchumi zitakua kwa kasi zaidi,” amesema.

Aidha, Mhe. Mwakisu ametumia nafasi hiyo kuwashukuru viongozi wote waliopata nafasi ya kuongoza Halmashauri katika kipindi cha ujenzi wa kituo hicho, akiwataja Mkurugenzi wa kwanza Joseph Kashushura, aliyefuata Dkt. Semistatus Mashimba na Mkurugenzi wa sasa CPA Francis Kafuku.

Amesema mshikamano wa kiuongozi, dhamira ya pamoja na uwajibikaji wa viongozi hao ndio nguzo kuu iliyopelekea kukamilika kwa mradi huo, ambao utabaki kuwa alama ya mshikamano na kielelezo cha uwajibikaji kwa vizazi vijavyo.


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • KASULU DC YAKABIDHI KITUO CHA POLISI CHA KISASA CHENYE THAMANI YA MILIONI 114

    September 15, 2025
  • KASULU KUANDAA BONANZA LA MICHEZO KUHAMASISHA MWENGE WA UHURU NA UCHAGUZI MKUU

    September 01, 2025
  • MPANGO WA UWAWA WAIBUA MATUMAINI MAPYA KATIKA SEKTA YA ELIMU KASULU

    August 20, 2025
  • MSAADA WA JKT WAOKOA ZAIDI YA MILIONI 13 KWA SHULE YA MGOMBE

    August 18, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.