• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

WAZAZI WATAKIWA KUTOKATISHA MASOMO YA WATOTO

Posted on: May 18th, 2023

Afisa Ustawi wa Jamii Bi. Rukia Adam Bakari amewataka wazazi kutokatisha masomo ya watoto na kuwaingiza katika shughuli za kutafuta fedha ili kuzihudumia familia zao 


Aliyasema hayo alipokuwa kwenye hafla ya kusherekea siku ya kuzaliwa kwa watoto wanaofadhiliwa na Shirika la World Vision Tanzania kupitia Mradi wa BUHOMA unaotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu.


“Wazazi tuache tamaa tupeleke watoto shule badala ya kuwafanya vitega uchumi kwa kuwapeleka kwenye utumishi wa kazi za ndani ili kuleta fedha kwaajili ya sisi wazazi”.

C7756AED-2945-4332-9811-F9C435EA70C1.jpeg

Kwa upande wake Afisa Maendeleo ya jamii Bi. Subira Swai alitoa rai kwa wazazi kukaa karibu na watoto kama njia moja ya kuhimiza malezi chanya badala ya kujikita kwenye shughuli za uzalishaji muda wote na kuwaacha kujilea


Sambamba na hayo Shirika la WVT kupitia mradi wa BUHOMA unaotekelezwa katika vijiji 10 vilivyopo katika halmashauri ya Wilaya ya Kasulu limetoa zawadi ya kadi za bima ya afya, viatu na blanketi kwa watoto wanaofadhiliwa na mradi huo


Hii ni katika kuletekeleza mkakati wa miaka mitano 2021-2025 wa shirika hilo wa kuhakikisha kila mtoto anakuwa na afya nzuri na kufurahia maisha katika utimilifu wake.


Aidha zawadi hizo zimetolewa kuwa sehemu ya kumbukumbu za siku za kuzaliwa kwa watoto hao ikiwa ni alama ya kumshukuru Mungu kwa kuwawezesha kufika mwaka mwingine wa kuishi na kuonja upendo wake na majirani zao


Zawadi hizi zinajumuisha kadi za bima ya afya kwa watoto 100, viatu vya shule kwa watoto 600 na blanketi za kulalia kwa watoto 1,650. Zawadi hizi zina jumla ya thamani za shilingi za Kitanzania 90,990,000/=

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI NA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU March 31, 2023
  • NAFASI ZA KAZI USTAWI WA JAMII February 19, 2018
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI KASULU DC March 23, 2018
  • USAJIRI WA MAKAMPUNI YA BIASHARA KWA NJIA YA MTANDAO NA TAARIFA MBALI ZA USAJIRI BIASHARA May 16, 2018
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • WAZAZI WATAKIWA KUTOKATISHA MASOMO YA WATOTO

    May 18, 2023
  • KASULU DC YATARAJIA MRADI WA BILION 3.5

    April 25, 2023
  • WANANCHI WA KASULU WAHASWA KULINDA AMANI YA NCHI YA TANZANIA

    April 20, 2023
  • KIGOMA KUWASAKA WATOTO WASIOENDA SHULE

    April 18, 2023
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • Kigoma dc
  • Nacte
  • Necta

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2022 kasuludc . All rights reserved.