• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

WASIMAMIZI WASAIDIZI WASISITIZWA KUFIKA MAPEMA SIKU YA KUPIGA KURA

Posted on: October 26th, 2025

Na Mwandishi Wetu 

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kasulu Vijijini, Wakili Emmanuel Ladislaus, amewataka wasimamizi wa vituo na wasaidizi wao kuhakikisha wanafika mapema vituoni na kukamilisha maandalizi yote kabla ya saa 1:00 asubuhi ili wananchi waanze kupiga kura kwa wakati.

Wakili Ladislaus ametoa maelekezo hayo leo Jumapili, Oktoba 26, 2025, katika Chuo cha Ualimu Kasulu (TCC) wakati akifungua Semina ya Uchaguzi kwa wasimamizi wa vituo na wasaidizi wao.

 Amesisitiza umuhimu wa maandalizi ya mapema akisema ni jambo lisilokubalika kuanza kuandaa kituo wakati muda wa kupiga kura ukiwa umeshawadia.

“Kwakweli itakuwa jambo la ajabu sana inapofika saa 1:00 asubuhi wewe ndio unaanza kuandaa kituo. Maandalizi hayo yanatakiwa kufanyika mapema ili inapofika muda huo watu waanze kupiga kura baada ya maandalizi yote kukamilika,” amesema.

Aidha, amesisitiza umuhimu wa kuwapa kipaumbele wapiga kura wenye mahitaji maalum, wakiwemo wajawazito, wazee wenye umri kuanzia miaka 60, walemavu na akinamama wanaonyonyesha, akibainisha kuwa kundi hilo linapaswa kutangulizwa kupiga kura.

“Tunaposema mahitaji maalum ina maana pana. Niwaombe watu wa aina hii muwape nafasi za mwanzo wanapofika kituoni,” ameongeza.

Kadhalika, Wakili Ladislaus amewataka wasimamizi wa vituo kuhakikisha wanafanya mawasiliano ya karibu na wasimamizi wasaidizi wa kata ili kushirikiana katika kutoa ufafanuzi na kutatua changamoto zitakazojitokeza, kuhakikisha zoezi la uchaguzi linafanyika kwa utulivu na ufanisi katika maeneo yote waliyopewa dhamana.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • WASIMAMIZI WASAIDIZI WASISITIZWA KUFIKA MAPEMA SIKU YA KUPIGA KURA

    October 26, 2025
  • MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA WAKUMBUSHWA KUEPUKA MALALAMIKO WAKATI WA UCHAGUZI

    October 25, 2025
  • KASULU DC YAKABIDHI GARI LA SHILINGI MILIONI160 KWA SHULE YA HOPE

    October 18, 2025
  • MAAFISA UGANI WATAKIWA KUHAMASISHA USAJILI WA WAKULIMA KWENYE MFUMO WA RUZUKU

    October 08, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.