• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA WAKUMBUSHWA KUEPUKA MALALAMIKO WAKATI WA UCHAGUZI

Posted on: October 25th, 2025

Na Mwandishi Wetu 

Makarani waongozaji wapiga kura katika Jimbo la Kasulu Vijijini wametakiwa kujiepusha na vitendo vinavyoweza kusababisha malalamiko kutoka kwa vyama vya siasa, kwa kuhakikisha wanashirikiana kwa karibu na mawakala wa vyama watakaokuwepo vituoni, kwa mujibu wa sheria za uchaguzi.

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo, Wakili Emmanuel Ladislaus, ametoa wito huo leo Jumamosi, Oktoba 25, 2025, wakati akifungua Semina ya Uchaguzi kwa makarani hao katika Chuo cha Ualimu Kasulu (TCC) mkoani Kigoma.

“Fanyeni kazi kwa ushirikiano kama timu ili kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa amani na ufanisi. Hakikisheni mnafika mapema vituoni ili kukamilisha maandalizi kabla ya muda rasmi wa upigaji kura, yaani saa 1:00 kamili asubuhi,” amesema Wakili Ladislaus.

Aidha, amewataka makarani hao kuzingatia taratibu zote za utoaji wa taarifa kwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kupitia kwa Msimamizi wa Uchaguzi pekee, pamoja na kutekeleza kwa uaminifu viapo vyao vya kutunza siri na kutokuwa wanachama wa chama chochote cha siasa kipindi chote cha uchaguzi.


Semina hiyo imehusisha makarani waongozaji wapiga kura kutoka vituo 552 vya kupigia kura vilivyopo katika kata 21 za Jimbo la Kasulu Vijijini, ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2025.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • WASIMAMIZI WASAIDIZI WASISITIZWA KUFIKA MAPEMA SIKU YA KUPIGA KURA

    October 26, 2025
  • MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA WAKUMBUSHWA KUEPUKA MALALAMIKO WAKATI WA UCHAGUZI

    October 25, 2025
  • KASULU DC YAKABIDHI GARI LA SHILINGI MILIONI160 KWA SHULE YA HOPE

    October 18, 2025
  • MAAFISA UGANI WATAKIWA KUHAMASISHA USAJILI WA WAKULIMA KWENYE MFUMO WA RUZUKU

    October 08, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.