• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

MAAFISA UGANI WATAKIWA KUHAMASISHA USAJILI WA WAKULIMA KWENYE MFUMO WA RUZUKU

Posted on: October 8th, 2025

Na Mwandishi Wetu

Maafisa ugani wametakiwa kuhakikisha wakulima wanasajiliwa kwenye mfumo wa ruzuku ya mbolea ili waweze kunufaika na punguzo la bei ya mbegu na mbolea katika msimu mpya wa kilimo unaotarajiwa kuanza hivi karibuni.

Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, Mikidadi Mbaruku, ametoa agizo hilo leo wakati akifungua kikao cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2025/2026 kwa watendaji wa divisheni hiyo kilichofanyika katika Ukumbi wa Kagoma, makao makuu ya Halmashauri.

“Nataka mhakikishe wakulima wanasajiliwa kwenye mfumo huo ili wapate punguzo la mbegu na mbolea kwa kutumia namba zao hizo hizo. Pia, tembeleeni wakulima kipindi hiki wanapoandaa mashamba kuwaelimisha kuhusu uchaguzi wa mbegu bora, upandaji kwa nafasi sahihi na matumizi sahihi ya pembejeo,” amesema Mbaruku.

Kwa upande wake, Mkuu wa Divisheni ya Utawala na Rasilimali Watu wa Halmashauri hiyo, Phebby Ambwene, amewataka watumishi wa umma kuhakikisha wanazingatia muda katika utekelezaji wa majukumu yao ili kazi zikamilike kwa wakati uliopangwa.

Aidha, amewasisitiza kuepuka migogoro hasa ya ardhi, na pale inaposhindikana kutatuliwa katika ngazi za chini, wahakikishe inafikishwa kwa Ofisi ya Mkurugenzi kwa hatua zaidi.

Katika hatua nyingine, Afisa Umwagiliaji wa Halmashauri hiyo, Rajab Kisigalile, ameipongeza Divisheni ya Kilimo kwa kuandaa kikao hicho, akisema kimekuwa fursa muhimu kwa wataalam kukumbushwa majukumu yao na misingi ya utumishi wa umma.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA UGANI WATAKIWA KUHAMASISHA USAJILI WA WAKULIMA KWENYE MFUMO WA RUZUKU

    October 08, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUWAUNGA MKONO WAKULIMA WA PAMBA KASULU

    October 07, 2025
  • LALJI FOUNDATION YATOA MADAWATI 100 KUSAIDIA SHULE TATU

    October 04, 2025
  • WANANCHI KASULU WAASWA KUCHANGAMKIA HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA

    September 30, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.