• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

LALJI FOUNDATION YATOA MADAWATI 100 KUSAIDIA SHULE TATU

Posted on: October 4th, 2025

Na Mwandishi Wetu 

Taasisi isiyo ya kiserikali ya LALJI Foundation imetoa msaada wa madawati 100 kwa shule za msingi Chekenya, Katoto na Nyakasanda wilayani Kasulu, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuboresha mazingira ya elimu nchini.

Akizungumza katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika leo Jumamosi, Oktoba 4, 2025, katika Shule ya Msingi Chekenya, Kata ya Kurugongo, Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Mhe. Kanali Isaac Mwakisu, amesema msaada huo utasaidia wanafunzi kusoma katika mazingira bora zaidi, jambo litakalopunguza utoro na kuongeza ufaulu.

“Utoaji wa madawati haya unaonyesha namna ambavyo Serikali ina ushirikiano mzuri na wadau wa maendeleo. Kupitia taasisi kama hizi, tunaweza kushirikiana kutekeleza yale ambayo Serikali haiwezi kuyafanya mara moja. Ndiyo maana tunahamasisha uwekezaji unaogusa jamii ili kuchochea maendeleo,” amesema Kanali Mwakisu.

Ameongeza kuwa, ni jukumu la wanafunzi waliopata msaada huo kusoma kwa bidii ili kufikia malengo yao na kuwa viongozi bora wa baadaye katika nyanja mbalimbali.

Kwa upande wake, Mlezi wa taasisi hiyo, Sheni Lalji, amesema utoaji wa madawati hayo unalenga kujenga mazingira bora ya kujifunzia yenye heshima, kuboresha upangaji wa madarasa, kuongeza ufanisi wa walimu, kupunguza utoro na kusaidia Serikali katika kuboresha miundombinu ya elimu.

Naye Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Chekenya, Benjamini Mwapule, ameishukuru taasisi hiyo kwa msaada huo, akibainisha kuwa madawati 25 waliyopokea yatasaidia zaidi ya wanafunzi 100 kukaa kwa utulivu na kujifunza katika mazingira bora.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA UGANI WATAKIWA KUHAMASISHA USAJILI WA WAKULIMA KWENYE MFUMO WA RUZUKU

    October 08, 2025
  • SERIKALI YAENDELEA KUWAUNGA MKONO WAKULIMA WA PAMBA KASULU

    October 07, 2025
  • LALJI FOUNDATION YATOA MADAWATI 100 KUSAIDIA SHULE TATU

    October 04, 2025
  • WANANCHI KASULU WAASWA KUCHANGAMKIA HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA

    September 30, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.