• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

WASHIRIKI WA UMISETA WATAKIWA KUWA NA NIDHAMU NA KUJITUMA MUDA WOTE WAKATI WA MASHINDANO

Posted on: June 1st, 2024


Wanafunzi washiriki wa Umoja wa Michezo Sekondari Tanzania (UMISETA) katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wametakiwa kuwa na nidhamu na kujituma  muda wote wawapo kambini ili waweze kupata matokeo mazuri kwenye michezo hiyo.


Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, Dkt. Semistatus H. Mashimba wilayani humo  leo Jumamosi Juni 1,2024 alipokua anafungua mashindano hayo na kuwataka wasishiriki mashindano husika kwa mazoea bali wafanye mbinu ili kuibuka na ushindi.


 Amesema kuwa kwa kufanya hivyo itawasaidia washiriki hao kuweza kushinda katika mashindano ya UMISETA kuanzia ngazi ya mkoa hadi taifa na kuwaahidi kuwa iwapo watafanikiwa kufanya hivyo ataipa kipaumbele sekta ya michezo katika halmashauri anayoiongoza.

Aidha, Dkt. Mashimba amewataka watendaji wa kata na vijiji kuhakikisha afya na usalama wa wanamichezo unakua vyema wakati wote wawapo kambini  kuanzia siku ya ufunguzi hadi kambi yao itakapovyunjwa.



"Nitoe shime kwa Afisa Mtendaji wa Kata na Kijiji tuhakikishe walimu na watoto hawa wako salama na mawasiliano yanakuwepo ili tuhakikishe tunaanza na kumaliza mashindano yetu salama", amesema.


Naye Afisa Elimu Sekondari  wa Halmashauri  hiyo, Iyogo Isuja amesema uwepo wa UMISETA mashuleni si upotezaji wa muda ila inawapa nafasi nzuri wanafunzi ambao ni washiriki wa michezo hiyo  kuweza kufanya vizuri katika masomo pia.


Ambapo ameongeza kuwa kwa kushiriki michezo hiyo inawapa nafasi nzuri washiriki kujenga afya na akili zao kuwa vizuri pamoja na kuwa na fursa nzuri katika soko la ajira nchini.


Kwa upande wake Afisa Michezo wa Halmashauri hiyo, Thomas Kisaka amesema matumaini ni makubwa ya kushinda michezo hiyo kwa ngazi zote watakazoshiriki kutokana na maandalizi mazuri waliyotoa walimu  wa michezo waliokuwa nao.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • PAMBA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

    May 08, 2025
  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.