• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

WANANCHI WA KASULU WAHASWA KULINDA AMANI YA NCHI YA TANZANIA

Posted on: April 20th, 2023


Wananchi wa Wilaya ya kasulu wamehaswa  kudumisha amani iliyopo kwatika nchi ya tanzania ili waweze kufanya kazi katika mazingira yasiyo kuwa na matishio kwani uvunjifu wa amani husababisa kukosekana Kwa maendeleo.


aliyasema hayo Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Isaac Antony Mwakisu alipokua akiongea na wananchi katika iftari iliyoandaliwa na Mkuu wa Wilaya Kasulu pamoja na wakurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu na Halmashauri ya Mji Kasulu aprili 19, 2023.


Mwakisu alisisitiza wananchi wa Kasulu kuhakikisha Tanzania inaendelea kuwa kisiwa cha amani kwani endapo amani ikitoweka hakuna shughuli yoyote  ya uzalishaji mali itafanyika katika maeneo yao.


“Ndugu zanguni amani ikipotea hakuna kinachoendelea niwasihi sana katika hili tudumishe amani yetu tuendelee kuwa kisiwa cha amani najua huko nyuma kulikuwa na shida kidogo katika wilaya yetu kulikua na utekaji na hili wakati tunakuja tulikiongea kwa uwazi

Kwamba nataka vijana wa Kagera Nkanda jioni Ijumaa waje Kasulu Kwa taxii na warudi kwao nakuthibitishia sheikh wale vijana wanakuja na kurudi”, alisema Mwakisu.


Aidha Mwakisu aliwataka wananchi hao kukemea vikali Matendo ya mahusiano ya jinsia moja na kutoyafumbia macho kwani wakionea aibu mambo hayo watatekekeza taifa lao kwa kupelekea kukosa Watu wenye uwezo wa kulitumikia taifa lao.


“Niwaombe Kwa kutumia hadhara hii tuko kwenye vita watoto wetu wanaharibika angalau MUNGU ametupa hekima tumekua Watu wazima tunajitambua wapo watoto wetu ambao ndio wanatafutwa Kwa kiasi kikubwa ili Tanzania yetu ya baadae isiwe na Watu wenye uwezo wa kulitumikia taifa hili”, alisema Mwakisu


Vilevile alimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anayoifanya katika Wilaya ya Kasulu ambayo imegusa Jamii moja Kwa moja kupitia miradi ya afya, elimu, maji na barabara 


Aliongeza kuwa wananchi waendelee kumuunga mkono Mheshimiwa Rais Kwa kazi nzuri ambayo ameionesha kwani katika miaka yake 22 ya utumishi hakuwai kuona Rais akipeleka hela zinaenda kwenye utekelezaji kama kipindi cha mama SSH.






Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • WALIMU SHULE YA MSINGI KISUMA WATOA SHUKRANI KWA WADAU WALIOCHANGIA SARE NA VIFAA KWA WANAFUNZI

    June 05, 2025
  • MAFUNZO YA SIKU TATU YA KKK KWA WALIMU WA DARASA LA KWANZA NA LA PILI YAFIKIA TAMATI KASULU

    June 05, 2025
  • KASULU DC YAENDELEA KUWAJENGEA UWEZO WALIMU WA MADARASA YA AWALI

    June 03, 2025
  • VIONGOZI WA TAASISI ZA ELIMU NA IDARA YA AFYA KASULU WATAKIWA KUSIMAMIA USAFI WA MAZINGIRA

    June 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.