• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

UGAWAJI WA BURE WA MICHE YA KAHAWA WAWAVUTIA WAKULIMA

Posted on: July 22nd, 2025

Na Mwandishi Wetu 

Kaimu Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, Masumbuko Kwelema, amesema kuwa ugawaji wa bure wa miche ya kahawa aina ya Arabica umeleta matokeo chanya kwa kuongeza idadi ya wakulima kutoka 50 hadi kufikia 350 ndani ya kipindi cha mwaka mmoja.

Akizungumza hivi karibuni wakati wa ziara ya waandishi wa habari waliotembelea miradi ya kilimo katika Kata ya Buhoro, Kwelema amebainisha kuwa mbegu hiyo iliyoboreshwa imeonyesha mafanikio makubwa kutokana na uwezo wake wa kuzaa kwa wingi na kustahimili magonjwa.

“Awali, uzalishaji ulikuwa kati ya tani mbili hadi tatu kwa mwaka, lakini mwaka jana tulifikia tani 91.2 kutokana na hamasa na ugawaji wa miche bure. Mwaka huu tunatarajia kuvuna tani 120. Kupitia kitalu kipya cha Shule ya Msingi Kibilizi, tayari tumezalisha miche 384,000 kwa ajili ya kugawa kwa wakulima, na tunalenga kufikia miche 1,000,000,” amesema.

Kwa upande wake, Mwalimu wa Taaluma wa Shule ya Msingi Buhoro, Stanslaus Petro, amesema kuwa kitalu na shamba la kahawa lililoanzishwa shuleni hapo limeiwezesha shule kupata fedha za kununua sukari kwa ajili ya uji wa wanafunzi, hatua iliyopunguza utoro na kuongeza ufanisi wa masomo.

 Naye mkulima kutoka Kijiji cha Kibilizi, Lidia Kasmiri, ameishukuru Serikali kwa kuwapatia miche pamoja na kuwapatia wataalam wa kilimo wanaotoa ushauri kuhusu upandaji, utunzaji na matumizi ya dawa, hali iliyosaidia kwa kiasi kikubwa kuongeza tija shambani.


Katika hatua nyingine, Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Buhoro, Fredrick Nyamwombo, amesema kuwa kupitia mafunzo ya ujasiriamali yaliyotolewa na Serikali, wakazi wa kijiji hicho wamefanikiwa kuanzisha AMCOSS kwa ajili ya kuhakikisha upatikanaji wa soko la uhakika kwa zao hilo, jambo litakalosaidia kupunguza umaskini kijijini.

 

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • CPA KAFUKU : WATUMISHI TEMBEENI KIFUA MBELE KWA UTENDAJI KAZI WENU BORA

    July 30, 2025
  • SERIKALI YAKABIDHI SHULE YA SHILINGI 361 KWA KIJIJI CHA ZEZE

    July 24, 2025
  • UGAWAJI WA BURE WA MICHE YA KAHAWA WAWAVUTIA WAKULIMA

    July 22, 2025
  • KILIMO CHA MCHIKICHI KUSUKUMA UCHUMI MPYA KWA WAKULIMA

    July 17, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.