• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

SIKU YA WANAWAKE DUNIANI IMESAIDIA KUMWEKA MWANAMKE KWENYE VYOMBO VYA JUU VYA KIMAAMUZI

Posted on: March 6th, 2025

Na Mwandishi Wetu 

 Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayofanyika Machi 8 kila mwaka Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu leo Alhamisi Machi 6,2025 imefanya maadhimisho hayo kiwilaya katika Shule ya Sekondari Muyovozi.

Ambapo kupitia shughuli hiyo  iligawa taulo za kike,katoni za vinywaji  laini pamoja na kuendesha mijadala mbalimbali kuhusiana na namna ya kumkwamua mtoto wa kike kwa shule hiyo pamoja na wenzao wa Ntamya.  

Akizungumza katika tukio hilo Katibu Tawala wa Wilaya ya Kasulu,Theresia Mtewele ambaye alikuwa mgeni rasmi amesema kuwa kwa zaidi ya miaka 30 inaposheherekewa siku hiyo kumekuwa na harakati mbalimbali za kumkomboa mwanamke zilizomsaidia kushika nafasi kubwa kwenye vyombo vikubwa vya kimaamuzi.

“Tunapoadhimisha Siku ya Wanawake mwaka 2025 tunasheherekea mafanikio ambayo wanawake tumefikia katika nyanja mbalimbali kama uwakilishi kwenye uongozi na tunaye Rais ambaye ni mwanamke tunasheherekea vitu hivi tukiwa na mifano halisi ya wanawake ambao wameweza kuingia katika nafasi kubwa za kimaamuzi,” amesema.

Naye mkimbiza Mwenge wa Uhuru kitaifa mwaka 2024, Makwaya Makwaya amesema kuwa Ili mtu aweze kufikia ndoto zake ni lazima azingatie suala la nidhamu na kujituma kwakuwa haitatokea mtu kukudhamini au kukupa nafasi usipozingatia mambo hayo.

Kwa upande wake Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya Jamii wa halmashauri hiyo, Victoria Makyao amesema kuwa madhamisho hayo huwa na lengo la kujadili  changamoto mbalimbali zinazowakumba wanawake katika kufikia maendeleo kuona ni namna gani wanazipatia ufumbuzi.

Katika hatua nyingine Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Muyovozi,Joina Dismas amesema kuwa maadhimisho hayo yamemsaidia kujifunza wanawake ni watu kama watu wengine katika jamii hivyo wanatakiwa kuheshimiwa,kutunzwa pamoja na kuthaminiwa ili waweze kufikia ndoto zao.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • PAMBA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

    May 08, 2025
  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.