• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

SERIKALI YAKABIDHI SHULE YA SHILINGI 361 KWA KIJIJI CHA ZEZE

Posted on: July 24th, 2025

Na Mwandishi Wetu 

Serikali imekabidhi rasmi Shule mpya ya Msingi Kacheli kwa uongozi wa Kijiji cha Zeze, ikiwa na thamani ya Shilingi milioni 361. Shule hiyo itawahudumia wakazi wa vitongoji vya Lugufu Relini na Kacheli, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuwapelekea wananchi elimu bora karibu na makazi yao.

Akizungumza katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika shuleni hapo leo Alhamisi, Julai 24, 2025, Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Paulo Ramadhani, amesisitiza umuhimu wa wananchi kushiriki katika utunzaji wa miundombinu ya shule hiyo ili iweze kuhudumu kwa vizazi vijavyo.

“Miundombinu hii ina thamani kubwa. Kuna watu wasio na nia njema wanaoweza kuiba vifaa vya shule na kuhatarisha ubora wa majengo. Tunawaomba kila mmoja awe mlinzi wa mwenzie ili kulinda rasilimali hizi za umma,” amesema Ramadhani.

Aidha, amewataka wananchi kutoa ushirikiano kwa walimu watakaopangiwa kufundisha katika shule hiyo, hasa katika kutatua changamoto mbalimbali badala ya kila jambo kuachiwa Serikali pekee.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu,  Ndelekwa Vanica, amesema ujenzi wa shule hiyo ulikamilika tangu Januari mwaka huu, na taratibu za kukabidhi rasmi kwa serikali ya kijiji zilikuwa zinaendelea ili kuwezesha wanafunzi kuanza masomo.

Naye Mwenyekiti wa Kijiji cha Zeze,  Jonathan Ngongo, ameipongeza Halmashauri kwa kukamilisha mradi huo kwa wakati kama ilivyoelekezwa kwenye mkataba wa ujenzi, huku akibainisha kuwa thamani halisi ya fedha imeonekana kupitia ubora wa majengo yaliyopo.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • CPA KAFUKU : WATUMISHI TEMBEENI KIFUA MBELE KWA UTENDAJI KAZI WENU BORA

    July 30, 2025
  • SERIKALI YAKABIDHI SHULE YA SHILINGI 361 KWA KIJIJI CHA ZEZE

    July 24, 2025
  • UGAWAJI WA BURE WA MICHE YA KAHAWA WAWAVUTIA WAKULIMA

    July 22, 2025
  • KILIMO CHA MCHIKICHI KUSUKUMA UCHUMI MPYA KWA WAKULIMA

    July 17, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.