• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

CPA KAFUKU : WATUMISHI TEMBEENI KIFUA MBELE KWA UTENDAJI KAZI WENU BORA

Posted on: July 30th, 2025

Na Mwandishi Wetu 

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma, CPA Francis Kafuku, amewapongeza watumishi wa halmashauri hiyo kwa utendaji wao kazi bora na kuwataka kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa bidii huku wakitembea kifua mbele kwa mafanikio waliyoonyesha.

Akizungumza leo  Jumatano Julai 30,2025 katika kikao chake cha kwanza na watumishi wa makao makuu ya halmashauri pamoja na wale wa maeneo jirani, CPA Kafuku ameeleza kufurahishwa na hali ya kazi aliyoikuta wilayani humo, ikiwemo ukusanyaji wa mapato uliofikia 114% pamoja na usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo.

“Nimefurahishwa sana na kazi yenu. Mmeonyesha weledi mkubwa kwa kukusanya mapato kwa kiwango cha juu na kukamilisha miradi kwa wakati. Mimi nikisema nimekuta hakuna kilichofanyika nitakuwa mwongo. Ombi langu ni moja tu: endeleeni kufanya kazi kwa bidii zaidi,” amesema.

Katika hatua nyingine, CPA Kafuku amewahimiza watumishi hao kuchangamkia fursa zilizopo wilayani Kasulu, hasa katika sekta ya kilimo na upandaji miti, ili kuongeza kipato chao binafsi.

“Kasulu ni eneo lenye fursa nyingi. Ningependa kuwaona watumishi wakijiongezea kipato kupitia kilimo na upandaji miti. Cha kushangaza, mtu anaajiriwa leo baada ya miezi mitatu tayari anataka kuhama. Unajuaje kama huku si pazuri? Ukiwekeza kwenye miti, mara nyingi huhitaji uangalizi mkubwa baada ya kupanda,” ameeleza kwa msisitizo.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • CPA KAFUKU : WATUMISHI TEMBEENI KIFUA MBELE KWA UTENDAJI KAZI WENU BORA

    July 30, 2025
  • SERIKALI YAKABIDHI SHULE YA SHILINGI 361 KWA KIJIJI CHA ZEZE

    July 24, 2025
  • UGAWAJI WA BURE WA MICHE YA KAHAWA WAWAVUTIA WAKULIMA

    July 22, 2025
  • KILIMO CHA MCHIKICHI KUSUKUMA UCHUMI MPYA KWA WAKULIMA

    July 17, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.