• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

WAKULIMA WAHIMIZWA KUJISAJILI KUPATA MBOLEA ZA RUZUKU

Posted on: August 8th, 2025

Na Mwandishi Wetu 

Ili kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuongeza uzalishaji wa mazao na kuhakikisha uhakika wa chakula nchini, wakulima wamehimizwa kujisajili au kuhuisha taarifa zao kwa ajili ya kunufaika na mbolea ya ruzuku.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Mhe. Balozi Simon Sirro, leo Ijumaa Agosti 8, 2025, wakati akifunga Maonesho ya Wakulima wa Kanda ya Magharibi yaliyofanyika kwenye Viwanja vya Ipuli mkoani Tabora, yakihusisha mikoa ya Kigoma na Tabora.

“Serikali ya awamu ya sita imedhamiria kukuza sekta ya kilimo kwa kutoa mbolea ya ruzuku, hususan kwa mazao ya chakula kama mahindi. Hivyo nawasihi wakulima kutumia mbegu bora kwani ubora wa mazao huanza na ubora wa mbegu. Ukipanda mbegu duni, usitarajie mavuno bora,” amesema Balozi Sirro.

Aidha, amezitaka taasisi za kifedha zinazotoa mikopo kwa wakulima kuhakikisha zinafanya ufuatiliaji wa karibu ili kuhakikisha mikopo hiyo inatumika kama ilivyokusudiwa. Amesema hatua hiyo itasaidia kilimo kuwa cha tija na kuongeza uzalishaji.

Kwa upande mwingine, akizungumza kwa niaba ya wafanyabiashara wa kanda hiyo, Vaileth Lusana ameishukuru Serikali kwa kuweka mazingira bora ya ulipaji kodi, jambo ambalo limeimarisha uhusiano kati ya wafanyabiashara na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), tofauti na hali ilivyokuwa miaka ya nyuma.

Naye mwakilishi wa wakulima, Wallwa Makoye, ameiomba Serikali kuweka mkazo kwenye kilimo cha umwagiliaji ili wakulima wasitegemee mvua pekee katika uzalishaji, hatua itakayowawezesha kulima kwa mzunguko wa mwaka mzima na kuongeza tija katika kilimo.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MPANGO WA UWAWA WAIBUA MATUMAINI MAPYA KATIKA SEKTA YA ELIMU KASULU

    August 20, 2025
  • MSAADA WA JKT WAOKOA ZAIDI YA MILIONI 13 KWA SHULE YA MGOMBE

    August 18, 2025
  • TANZANIA NA BURUNDI ZAANZA RASMI UJENZI WA RELI YA KISASA YA UVINZA-MUSONGATI

    August 16, 2025
  • WATUMISHI HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU WAMPONGEZA MKURUGENZI KAFUKU KWA KUSIKILIZA KERO ZAO HADI NGAZI YA KATA

    August 14, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.