• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

UMITASHUMTA NGAZI YA HALMASHURI NI KUIBUA VIPAJI VITAKAVYOSAIDIA KUPAMBANA NGAZI YA MKOA

Posted on: May 22nd, 2024

Na Mwandishi Wetu

Lengo la Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA) kwa ngazi ya halmashauri ni kuibua vipaji vitakavyounda timu bora kwenye michezo mbalimbali ili ziweze kufanya vizuri katika ngazi ya mkoa.

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa Halmashauri ya Wilaya ya  Kasulu, Thomas Kisaka ameyabainisha hayo jana wilayani humo katika viwanja vya Chuo cha Ualimu Kasulu kwenye uzinduzi wa mashindano hayo kwa ngazi ya halmshauri.

“Michezo ya UMITASHUMTA ngazi ya halmashauri maana yake tunachukua watoto waliofanya vizuri kwa ngazi ya kata na kuwashindanisha ili tuweze kupata vipaji tutakavyoingia navyo kambini na kupata timu ya halamshauri itakayokwenda kushindana na halmshauri zingine nane ili kupata timu ya Mkoa wa Kigoma,” amesema.


Naye mmoja ya wajumbe anayehusika na suala la kuchagua washiriki , Stellah Ikanga amesema kuwa uwa wanangalia mchezaji ambaye hafanyi makosa sana pamoja na nafasi anayocheza ni namna gani anatimiza majukumu yake.

Na kuwataka wazazi kuwaruhusu watoto kushiriki michezo hiyo kwakuwa wanakuwa wapo katika uangalizi salama pamoja na kupata mahitaji yote muhimu yanayojumuisha malazi, chakula na matibabu iwapo tatizo likitokea.


Mwakilishi wa Benki ya NMB Wilaya ya Kasulu, Samwel Kabatemi amesema kuwa tofauti na msaada wa maji walioutoa kwa wanamichezo watahakikisha   mipira inapatikana kwa haraka kama walivyoombwa na wasimamizi wa michezo hiyo.

“Tunafahamu michezo ni afya mimi niwasihi tu katika kipindi chote hiki cha michezo yenu tujali afya zetu ukiona mwili umechoka sana ni vizuri kuwasiliana na daktari kwakuwa michezo ni burudani,” amesisitiza.

Katika hatua nyingine Afisa Elimu Msingi (Taaluma) wa halmshauri hiyo, Joseph Maige ameishukuru Benki ya NMB kwa kuwa wadau wakubwa wanapofuatwa kutatua changamoto zao mbalimbali hasa katika sekta ya elimu.

“Naamini msaada walioutoa utakwenda kufanikisha lengo lililokusudiwa la mashindano haya kitu kitakachoboresha ufanisi wa wachezaji watakapokwenda kupambana na halamshauri zingine,” amebainisha.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • PAMBA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

    May 08, 2025
  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.