• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

RC CHACHA AAGIZA UJENZI WA MABANDA YA KUDUMU MAONESHO YA NANENANE IPULI

Posted on: August 2nd, 2025

Na Mwandishi Wetu 

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Paul Chacha, ameagiza ujenzi wa mabanda ya kudumu katika Viwanja vya Nanenane Ipuli, mkoani Tabora, kwa washiriki  wa kudumu zikiwemo halmashauri, taasisi za umma, na sekta binafsi.

 Lengo la hatua hiyo ni kupunguza gharama za maandalizi kila mwaka kwa taasisi hizo maonesho hayo pindi yanapokaribia.

Mhe. Chacha ametoa maelekezo hayo leo Ijumaa, Agosti 2, 2025, wakati akifungua rasmi Maonesho ya Nanenane Kanda ya Magharibi, yanayohusisha mikoa ya Tabora na Kigoma.

 Ameeleza kuwa ujenzi wa mabanda hayo ya kudumu utasaidia kuweka miundombinu bora itakayowawezesha wananchi kupata elimu ya kitaalamu kuhusu fursa na teknolojia mbalimbali katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi.

Aidha, Mhe. Chacha amewahimiza wakulima kuhakikisha wanashiriki kikamilifu mpango wa mbolea ya ruzuku kwa kujisajili au kuhuisha taarifa zao, ili waweze kunufaika na punguzo hilo. Vilevile, amewataka wafanyabiashara wa mbolea kufuata bei elekezi iliyowekwa na Serikali ili kuhakikisha upatikanaji wa pembejeo hizo kwa gharama nafuu.

Kwa upande wake, Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Twalib Njohole, amesema kuwa lengo la maonesho hayo ni kuwawezesha wakulima, wafugaji na wavuvi kujifunza teknolojia bora zitakazoongeza tija katika uzalishaji.

Naye Mwakilishi kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Kwari Bura, amesema kuwa wizara hiyo inaendelea na kampeni ya kutoa chanjo kwa mifugo dhidi ya magonjwa manne ambayo  ni homa ya mapafu kwa ng’ombe, mdondo kwa kuku, kideli, na mafua ya kuku.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MPANGO WA UWAWA WAIBUA MATUMAINI MAPYA KATIKA SEKTA YA ELIMU KASULU

    August 20, 2025
  • MSAADA WA JKT WAOKOA ZAIDI YA MILIONI 13 KWA SHULE YA MGOMBE

    August 18, 2025
  • TANZANIA NA BURUNDI ZAANZA RASMI UJENZI WA RELI YA KISASA YA UVINZA-MUSONGATI

    August 16, 2025
  • WATUMISHI HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU WAMPONGEZA MKURUGENZI KAFUKU KWA KUSIKILIZA KERO ZAO HADI NGAZI YA KATA

    August 14, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.