• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

KASULU DC YATARAJIA MRADI WA BILION 3.5

Posted on: April 25th, 2023

Halmashauri ya wilaya ya Kasulu inatarajia kupata mradi wa kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabia nchi kwa wakulima wadogo wadogo kwa njia ya kilimo mseto katika wilaya za Uvinza na Kasulu yenye gharama za dola za kimarekani 1.5 sawa na shilingi za kitanzania bilioni 3.5


Mradi huu unatarajiwa kutekelezwa katika tarafa nne zilizopo katika halmashauri ya Wilaya ya Kasulu ambazo ni Heru chini, Buyonga, Makere na Buhoro kwa muda wa miaka 5 (2023-2028) miaka miwili ya upandaji miti na miaka mitatu ya usimamizi  na mchakato wa biashara ya hewa ya ukaa

Watekelezaji wa mradi huu ni shirika lisilo la kiserikali la Marafiki wa Ziwa Tanganyika (FOLT) kushirikiana wataalam wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu likiwa na Lengo la kufikia wakulima wadogo wadogo wapatao 1250.


Akisoma taarifa yake ya utekelezaji wa Mradi huo Mkurugenzi Mtendaji wa FOLT Said Kasanula amebainisha kuwa jumla ya miti 2,635,000 itapandwa kwenye mashamba na kingo za mito kwa matumizi mbalimbali.


Mradi huu utachangia katika utekelezaji wa sera ya serikali ya upandaji miti pia kufikia malengo ya maendeleo endelevu ya dunia hususani lengo la Hakuna umasikini, hakuna njaa pamoja na lengo la kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.

Aidha mradi huu unatarajiwa kuwezesha kufanyika kwa bihashara ya hewa ya ukaa kupitia soko la hewa ya ukaa la hiari na hivyo kuongeza kipato kwa wakulima wadogo wadogo. 

Kasanula aliongeza kuwa tafiti zinaonesha kuwa kilimo mseto cha kupanda miti kwenye mipaka ya mashamba tu na kile cha kuchanganya miti na mazao ya muda mrefu kinapunguza hewa ya ukaa ambayo huuzwa kwa dola za kimarekama 10-40 kwa tani moja.


Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu kupitia mradi huo inatarajia kuboresha maisha ya wakulima wadogo wadogo na kuwajengea ustahimilivu wa mabadiliko ya tabia nchi kupitia kilimo mseto ifikapo 2028

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI NA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU March 31, 2023
  • NAFASI ZA KAZI USTAWI WA JAMII February 19, 2018
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI KASULU DC March 23, 2018
  • USAJIRI WA MAKAMPUNI YA BIASHARA KWA NJIA YA MTANDAO NA TAARIFA MBALI ZA USAJIRI BIASHARA May 16, 2018
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • WATENDAJI WATAKIWA KUHAKIKISHA WAZAZI WANAPELEKA WATOTO KUPATA CHANJO YA POLIO

    September 21, 2023
  • WAZAZI WATAKIWA KUTOKATISHA MASOMO YA WATOTO

    May 18, 2023
  • KASULU DC YATARAJIA MRADI WA BILION 3.5

    April 25, 2023
  • WANANCHI WA KASULU WAHASWA KULINDA AMANI YA NCHI YA TANZANIA

    April 20, 2023
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • Kigoma dc
  • Nacte
  • Necta

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2022 kasuludc . All rights reserved.