• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

KASULU DC YAPANIA BIASHARA YA KABONI

Posted on: May 18th, 2024

Na Mwandishi Wetu 

Ujumbe wa wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani  Kigoma ukiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa halmshauri hiyo,Dkt.Semistatus H. Mashimba jana Mei  17, 2024 umefanya ziara ya kimafunzo katika Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika  mkoani Katavi kujifunza biashara ya Kaboni.

Akiongea katika tukio hilo Mkuu wa Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika, Bruno Mwaisaka amesema biashara ya Kaboni inafanyika kwa namna mbili zinazojumuisha utengenezaji wa krediti  au wahusika kuwa kama wateja.

“Sisi hivi sasa inatakiwa tuuze krediti ili tuweze kuwa na nguvu nazo tofauti na ukiwa kama mteja soko lake linakuwa si la uhakika kwa mfumo uliopo hivi sasa ni vizuri kutengeneza krediti ili uwe na uhakika wa kupeleka sokoni kwamba hiki nachokiuza kipo kwenye ubora,” amesema.

 

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, Dkt. Semistatus H. Mashimba amesema kupitia ziara hiyo amepata weledi mkubwa wa ufanyaji wa biashara hiyo kwa kujua ni taasisi gani zinahusika, hatua zinazopaswa kufuatwa,muda unaochukua hadi kuanza biashara pamoja na changamoto zilizopo.

“Biashara ya Kaboni ni nzuri inatusaidia kutunza mazingira yetu changamoto zinakuja kutoka kwetu sisi wenyewe kwa baadhi ya maeneo kukataa kufanya mchakato wa namna bora ya kutunza misitu yetu inayotupa faida ya kufanya biashara ya Kaboni pamoja na mazingira yetu kuwa salama,” amesema.

 

Naye Mweka Hazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, Sarah Kibona amesema kuwa  mchakato wa  kufanya biashara ya Kaboni ni mrefu na unahitaji fedha hivyo kwa bajeti zinazofuta wataweka kipaumbele katika kuwekeza katika biashara hiyo.

 

Katika hatua nyingine Kaimu Afisa Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, Elkana Maige amebainisha kuwa hatua ya kwanza watakayofanya ni kukutana na kamati za utunzaji wa mazingira za vijiji ili kuanzisha mchakato wa usimamizi wa misitu ya vijiji yenye umuhimu   kwenye utekelezaji wa biashara ya hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • PAMBA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

    May 08, 2025
  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.