• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

KAMATI YA USHAURI YA WILAYA (DCC) IMERIDHIA JIMBO LA KASULU VIJIJINI KUGAWANYWA

Posted on: March 14th, 2025

Na Mwandishi Wetu

Kamati ya Ushauri ya Wilaya (DCC) imeridhia jimbo la Kasulu Vijijini kugawanywa ili lipate kuwa na majimbo mawili ambayo ni Jimbo la Makere na Buyonga.

Kikao hicho kimefanyika leo Ijumaa Machi 14,2025  katika Ukumbi wa  Mkuu wa Wilaya ya Kasulu chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Kanali Michael Ngayalina ambaye pia ni Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Kasulu.

Akizungumza katika kikao hicho Kanali Ngayalina amesema kuwa  jambo hilo ni la kisheria baada ya tangazo la Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuhusiana na kubadilisha majina au kugawanya kwa  majimbo.

”Kulingana na maelezo yaliyotolewa mchakato katika ngazi ya chini kabla ya mchakato wa ngazi ya wilaya umeshafanyika,kwahiyo leo kikao hiki kitapitia yale yaliyofanyika katika ngazi zilizotutangulia na sisi tukibariki mchakato huu ulioanzishwa tutapeleka mapendekezo yetu katika Baraza la Ushauri la Mkoa (RCC),” amesema.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, Ndelekwa Vanica amesema kuwa ofisi yake kazi yake ni kutoa ushauri elekezi wa kitaalam ni njia gani za kupita ili mchakato huo upate kufanikiwa.

Naye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kasulu,  Mbelwa Chidebwe amebainisha kuwa wameona kupitia madiwani na washauri mbalimbali  kuligawa jimbo husika kutokana na ukubwa wa eneo na wingi wa watu.

Kwa upande wake Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Kasulu Vijijini, Simon Nzibuje amesema kuwa ugawaji wa jimbo utasaidia kurahisisha kuhudumia wananchi kwenye shughuli za uwakilishi kutokana na hivi sasa mambo kuwa magumu kutokana na ukubwa wa eneo.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • KASULU YAWEZESHA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU KWA MIKOPO YA MILIONI 870

    June 20, 2025
  • KASULU DC YAWAAGA MADIWANI WALIOHITIMISHA KIPINDI CHAO CHA MIAKA MITANO

    June 20, 2025
  • KASULU DC YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI PAMOJA NA KUPUNGUZA IDADI ZA HOJA HADI KUFIKIA TARAKIMU MOJA

    June 16, 2025
  • TIMU YA MADAKTARI BINGWA WA MAMA SAMIA YAKEWA KAMBI HOSPITALI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    June 17, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.