• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

KAMATI YA FEDHA YAKUNWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA ELIMU

Posted on: March 6th, 2024

Na Mwandishi Wetu 

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma hapo jana imefanya ziara kukagua miradi ya maendeleo katika sekta  ya elimu na kuridhishwa  namna jinsi inavyotekelezwa.

Akizungumza wakati wa ziara Makamu Mwenyekiti wa halmshauri hiyo, Laurent Poteza amesema kupitia ukaguzi waliofanya wamejiridhisha kuwa 99% ya miradi waliyopita imeweza kukidhi  vigezo vilivyowekwa.

“Miradi ambayo tumeikagua leo (jana) zaidi ya 99% imekidhi vigezo kwakuwa ipo katika hali nzuri na sehemu za marekebisho tumetoa maelekezo kwa  shule hivyo tunaamini kile tulichokielekeza kitafanyiwa kazi,” amesema.

 Naye Diwani wa Kata ya Kurugongo, Edson Hanyuma  amebainisha  kuwa utekelezaji wa miradi hiyo imewagusa wananchi  kwakuwa siku za nyuma ilipokuwa  inafika mwanzo wa  mwaka wananchi walikuwa wanatakiwa kutoa fedha kwa ajili  ujenzi wa madarasa.

“Namshukuru Rais Samia Suluhu Hassan  ameleta fedha nyingi kwenye ngazi ya halmashauri  nchini kote hasa katika sekta ya elimu kitu kilichosaidia wananchi kuepeukana na michango isiyo ya lazima,” ameongeza.

 Afisa Elimu Sekondari wa  Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, Iyogo Isuja amesema kuwa  utekelezaji wa miradi ya ujenzi mashuleni ukumbana  na changamoto ya vifaa kuchelewa kufika  maeneo ya miradi  hivyo watakabiliana nazo ipate kukamilika kwa wakati.

 Kwa upande wake Muhandisi wa halmashauri hiyo, Valence Philemon amebainisha kuwa  Idara ya Ujenzi imejipanga kuhakikisha miradi inayoendelea kutekelezwa inakamilika  kwa wakati.

Pia, Diwani wa Kata ya Rungwe Mpya, Jonas Abilikaja ameshauri menejimenti ya halmshauri hiyo kuhakikisha ujenzi wa mabweni katika shule ya mchepuo wa kiingereza ya ‘Hope Pre and Primary’ kuanza haraka ili  kuwavutia wateja walioko maeneo ya mbali.

Katika hatua nyingine Afisa Elimu Msingi (Takwimu), Sadick Lugagi amesema kuwa uanzishwaji wa shule ya ‘Hope Pre and Primary’ umelenga kukuza taaluma katika upande mwingine wa mtaala wa masomo unaotumia lugha ya kiingereza.


 

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • PAMBA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

    May 08, 2025
  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.