• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

IDADI YA WASIOJUA KUSOMA NA KUANDIKA YASHUKA KUTOKA 54,500 MPAKA 18,650 KIGOMA

Posted on: August 5th, 2024

Imeelezwa kuwa Mkoa wa Kigoma umefanikiwa kupunguza ukubwa wa changamoto ya wasiojua kusoma na kuandika kutoka wanafunzi 54,500 mpaka 18,650 kupitia Programu ya Shule Bora.


Hayo yamebainishwa na Katibu Tawala Msaidizi Elimu, Mwalimu Paulina Ndigeza alipokuwa akifungua mafunzo kwa Viongozi wa Elimu ngazi ya Mkoa na Halmashauri juu ya usimamizi wa vipaumbele vya ufundishaji na ujifunzaji kwa mwaka wa tatu wa programu ya Shule Bora leo Jumatatu Agost 5, 2024.

Paulina ameeleza kuwa programu hiyo imewawezesha kutoa mafunzo na kuwafikia walimu wote wa shule za Msingi kupitia Mfumo wa Mafunzo Endelevu ya Walimu Kazini (MEWAKA) na kuwawezesha kupanda kwa ufaulu kutoka 76.3% hadi 82.6%.


“Tumeweza kuona mwamko mkubwa sana haswa kwenye ufaulu wa mitihani ya darasa la saba, kwa mwaka juzi Mkoa wa Kigoma ufaulu wake uliku  76.3% lakini matokeo ya mwaka jana wanafunzi walifaulu kwa  82.6% kwahiyo unaona mabadiliko makubwa tumeweza kuyapata kupitia hii program ” Amesema.

Ameeleza kuwa kupitia mafunzo mbalimbali ya  viongozi yamesaidia kuongeza maarifa na weledi kwenye kusimamia utawala bora kwa wale wanaowaongoza


Kwa upande wake Afisa Elimu Taaluma Msingi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu,Joseph Maiga amesema kuwa wanayo matarajio chanya  kupitia programu hiyo kuwa itasaidia kuondoa mdondoko mashuleni.


Na kuongeza kuwa  kupitia Shule Bora kumesaidia kuwaunganisha wazazi na Walimu kupelekea kushirikiana vyema kitu kilichosaidia uhakika wa chakula mashuleni.



Ameeleza kuwa katika mwaka wa tatu wa programu ya Shule Bora vipo vipaumbele ambavyo vitasaidia kuongeza ujuzi na umahiri kwa walimu hasa kwenye ufundishaji na ujifunzaji wa masomo ya Hisabati na Kingereza

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • KASULU YASHUHUDIA MAENDELEO MAKUBWA MIAKA 61 YA MUUNGANO

    April 26, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.