• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

ELIMU NA HAMASA ZIONGEZWE KWENYE KURATIBU MASUALA YA JINSIA NA UWEKEZAJI KWA WANAWAKE

Posted on: March 8th, 2024

Na Mwandishi Wetu 

Wakurugenzi wa serikali za mitaa, idara na taasisi za serikali na zisizo za kiserikali zinazohusika na kutoa elimu ya jinsia na uwekezaji kwa wanawake wametakiwa kuimarisha uratibu wa shughuli za elimu na hamasa ili kuleta mabadiliko ya kifikra katika ngazi ya jamii.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye ametoa agizo hilo   leo kwenye kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo kimkoa yalifanyika Kata ya Makere iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu.

Amesema kwa kufanya hivyo itakuwa ndio njia pekee ya kuleta maendeleo ya haraka kwa taifa lakini ikiwemo kuimarisha ustawi wa jamii.

“Naagiza hamasa hii ifanyike katika ngazi zote za mamlaka za serikali za mitaa na zisimamiwe vizuri na idara zinazohusika hasa zile za maendeleo ya jamii,” amebainisha.

Aidha, amebainisha kuwa Mkoa wa Kigoma katika miaka mitatu ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan umeweza kupokea kiasi cha shilingi trilioni 11.450 kukabiliana na mambo mbalimbali yaliyofanya kuonekana kati ya mikoa yenye changamoto nyingi katika suala la maendeleo.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaac Mwakisu amesisitiza suala la ulinzi na usalama kwakuwa linasaidia wananchi kufanya shughuli zao za kimaendeleo bila bughudha yoyote.

“Mimi ni Mwenyekiti wa Usalama katika wilaya niwaombe wananchi wote wa Kasulu na mkoa kwa ujumla tuwekeze katika ulinzi na usalama kitu kitakachosaidia maendeleo tunayoyataka yaweze kufikiwa kwa urahisi,” amebainisha.

Katika hatua nyingine Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, Eliya Kagoma akitoa neno katika maadhimisho hayo amesema kuwa upendo wa mama ni kitu kizuri kwakuwa hata ukitelekezwa na baba uhakika wa kuoga, kuvaa, kula pamoja na kusoma unakuwepo.

“Mimi nimefundishwa kusoma na mama yangu mzazi kwahiyo nilienda shule ya msingi tayari najua jambo hilo, nilikuwa nakaa naye akipika chakula jikoni namwambia mama sasa wanasomaje ananiambia ngoja nikufundishe,” amesema.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • PAMBA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

    May 08, 2025
  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.