• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

DC KASULU AWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI ILANI

Posted on: March 24th, 2025

Na Mwandishi Wetu 

 Leo Jumatatu Machi 24,2025, Mkuu wa Wilaya ya Kasulu,Mhe. Kanali Isaac Mwakisu,amewasilisha taarifa muhimu kuhusu  Utekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mpinduzi (CCM) ya mwaka 2020-2025 ya Wilaya ya Kasulu katika kipindi cha kufikia mwezi Februari mwaka huu.

Katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Kasulu Mji, Kanali Mwakisu ameeleza mafanikio makubwa yaliyopatikana katika sekta mbalimbali,ikiwa ni pamoja na ongezeko la upatikanaji wa umeme,elimu na huduma za afya.

Amesema mitaa 108,vijiji 61, na vitongoji 222 vimepatiwa umeme ikiwa ni ongezeko la 81.32% ya upatikanaji wa huduma hiyo, na sekta ya elimu msingi imejenga madarasa mapya 236 na shule mpya 15.

“Sekta ya elimu sekondari imejenga madarasa mapya 338,shule mpya 11,ukamilishaji wa madarasa 39,ukamilishaji wa maboma 33,ukamilishaji wa mabweni 12,maabara ya sayansi 23,nyumba za walimu 7,mabweni mapya 12,vyoo matundu 200 na viti na meza jozi 4680,” amesema Kanali Mwakisu.

Aidha, amesema kuwa katika sekta ya afya kuna ongezeko la upatikanaji wa dawa, vifaa tiba,vitendanishi na vifaa saidizi kutoka 83.11% hadi 90.6% pamoja  na kaya zinazotumia vyoo kuongezeka  kutoka  63.85% hadi 99.8%..


Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kasulu, Mbelwa Chidebwe  amaetoa pongezi kwa watumishi wa wilaya hiyo kwa juhudi wanazofanya katika usimamizi wa miradi kitu kilichosaidia utekelezaji wa ilani ya chama kuwa rahisi kwa kuyafanyia kazi maelekezo yote yanayotolewa.

Katika kuelekea uchaguzi ujao, Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Kigoma, Zaituni Buyogera,amesisitiza umuhimu wa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura ili wananchi waweze kutumia haki yao ya msingi ya kuchagua viongozi wanaowataka.


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • PAMBA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

    May 08, 2025
  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.