• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

BONDI YA MIUNDOMBINU YA SAMIA YALETA KICHEKO KWA WAKANDARASI WAZAWA

Posted on: November 30th, 2024

Na Mwandishi Wetu

Bondi ya  Miundombinu ya Samia itawasidia wakandarasi wazawa wanaotekeleza miradi yao chini ya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mjini (TARURA) kulipwa fedha zao kwa wakati kitu kitakachopelekea miradi kukamilika katika muda uliopangwa.

Katibu Tawala wa Wilaya ya Kasulu, Theresia Mtewele amebainisha hayo mapema hii  leo wakati wa uzinduzi wa bondi hiyo wilayani humo tukio lililofanyika katika Tawi la Benki ya CRDB Wilaya ya Kasulu.

“Moja ya changamoto serikali ilikuwa inapitia ni wakandarasi kulipwa kwa wakati na kushindwa kumaliza miradi kwa wakati, bondi hii inaenda kuwa suluhisho kwa wenzetu na sisi wasimamizi wa miradi ya maendeleo  kutupa unafuu kwasababu tutaenda kuisimamia kwa urahisi ukamilikaji wake ili wananchi waweze kuneemeka,” amesema.

Aidha, Theresia ameitaka benki hiyo kuhakikisha inatoa elimu  kwa wananchi kwenye suala zima la uwekezaji kuhusiana na bondi hiyo kutokana na ufahamu wa masuala hayo kuwa chini ili lengo  walilopanga la kuwakwamua watanzania kiuchumi liweze kufikiwa.

Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Kasulu, Erick Tesha amesema kuwa kupitia bondi hiyo mwekezaji atapata fursa ya kulipwa mpaka awamu nne kwa mwaka kwa kila robo inayohusisha miezi mitatu kupata malipo mara moja.

“Samia Bond inawekezwa kwa muda wa miaka mitano na katika miaka hiyo inapata riba ya 12% kwa mwaka… dirisha la ununuzi wa hati fungani hii limeanza jana na litafungwa Januari 17,2025, dirisha limefunguliwa kwa wawekezaji wote wenye kiwango cha kuanzia shilingi 500,00 na kuendelea,” amesema Tesha.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • VIONGOZI WA TAASISI ZA ELIMU NA IDARA YA AFYA KASULU WATAKIWA KUSIMAMIA USAFI WA MAZINGIRA

    June 02, 2025
  • PAMBA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

    May 08, 2025
  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.