• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

ZAIDI YA BILIONI 171 ZATEKELEZA MIRADI KASULU JANUARI HADI DISEMBA

Posted on: December 23rd, 2023

Na Waandishi Wetu

Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaac Mwakisu amesema kuwa kwa kipindi cha mwezi Januari hadi Disemba 2023 wamepokea fedha  zaidi ya shilingi bilioni 171 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika wilaya hiyo.

Mwakisu ameyabainisha hayo jana alipokuwa anawasilisha taarifa ya utekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwa kipindi cha mwezi Januari hadi Disemba 2023 kwa wajumbe wa halmashauri kuu wa chama hicho wilayani humo.

“Miongoni mwa hizo fedha zimetoka serikali kuu, wahisani na makusanyo ya mapato ya ndani katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu na Kasulu Mji na kuelekezwa katika tasnia ya elimu, maji, miundombinu ya barabara kwa maana ya Tarula, umeme lakini pia kwenye afya,” amesema.

Amesema uwasilishaji huo umefanyika ili wajumbe wapate kujua nini kimefanyika kwa kipindi hicho kupitia ilani ya chama chao kwa kuwaonyesha vitu vyote vilivyotekelezwa.


Aidha, Mwakisu amewataka wananchi wa wilaya hiyo kujiepusha na vitendo vya ramli chongani maarufu kama Kamchape au Lamba lamba kwakuwa ni vitendo vinavyozua taharuki na kuhatarisha usalama wa watu.

“Athari ni nyingi kupitia ramli chonganishi kwa mwananchi anayetuhumiwa kuwa ni mchawi kutengwa na wenzake kwa kuonekana si mtu wa kawaida, sisi kama serikali tunakemea hayo pamoja na kutoa elimu ili watu wasiwe na akili kwamba kamchape ndio mkombozi wao,” amesema.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kasulu, Mbelwa Chidebwe amesema chama hicho hakiungi mkono masuala ya ramli chonganishi kwakuwa tayari wameshajiridhisha kuwa wanaofanya vitendo hivyo ni kundi la wahuni na matapeli.

“Zamani kumpata Kamchape ilikuwa ni shida na walikuwa wanafanya kazi zao usiku ila hawa wa sasa ni wezi tunaamini serikali haina dini ila wananchi wake wana dini hivyo kila mmoja kwa imani yake akafanye maombi kwa jili ya kutokomeza vitendo hivi,” amebainisha.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • KASULU DC YAANZISHA SHAMBA DARASA LA VIAZI LISHE KUKABILIANA NA UTAPIAMLO

    June 15, 2025
  • KUU KASULU YAKAGUA MIRADI YA MWENGE

    June 13, 2025
  • MATUMIZI YA ZANA ZA UFUNDISHAJI YATAJWA KUONGEZA UFANISI SHULENI

    June 11, 2025
  • WALIMU SHULE YA MSINGI KISUMA WATOA SHUKRANI KWA WADAU WALIOCHANGIA SARE NA VIFAA KWA WANAFUNZI

    June 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.