• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

WATOTO ELFU SABINI NA SABA WAMEPEWA CHANJO YA POLIO KASULU

Posted on: May 20th, 2022

Wakati zoezi la utoaji wa chanjo ya matone kuzuwia maambukizi ya ugonjwa wa polio kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano likiwa linaendelea, jumla ya watoto elfu sabini na saba na mia nne kumi na tano katika halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wamepewa chanjo hiyo.

Hayo yamebainika wakati wa uzinduzi wa zoezi la utoaji wa chanjo hiyo lililofanyika kwenye kituo cha afya cha Nyakitonto.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Katibu wa afya wa halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Joseph Mwanambesi amesema, zoezi hilo linalofanyika kwa kampeni ya nyumba kwa nyumba linakwenda vizuri na kuleta matumaini ya kuwafikia watoto wote wenye umri huo.

Aliongeza kuwa, halmashauri ya Wilaya ya Kasulu iliyolenga kutoa chanjo kwa watoto laki moja arobaini na saba na mia moja ishirini na nne, imekwishatoa chanjo hiyo kwa watoto sabini na saba elfu mia nne kumi na tano huku muda uliopangwa kwa ajili ya utekelezaji wa zoezi hilo ukiwa haujaisha.

Kwa upande wake, afisaelimu msingi wa halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Elnesta Chanafi, amewataka wazazi na walezi katika halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, kuwapeleka watoto wote wenye umri wa chini ya miaka mitano kwenye vituo vya afya na kuwatoa pindi watoa chanjo wanapofika kwenye makazi yao.

Chanafi aliyemwakikisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu kuzindua utoaji wa chanjo hiyo, ameyataja baadhi ya madhara yatokanayo na ugonjwa wa polio kuwa ni pamoja na mtoto kupooza hali inayopelekea kupata ulemavu.

Madhara mengine kwa mujibu wa Chanafi ni adha watakayoipata wazazi ya kutumia muda mwingi katika kuwahudumia watoto watakaokuwa na ulemavu utakaotokana na ugonjwa huo.

Pichani: Kaimu mganga mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Amani Mkemwa (mwenye shati la drafti) na Afisaelimu Msingi wa Halmashauri ya Wilaya ya kasulu Elnesta Chanafi wakati wa uzinduzi wa chanjo hiyo.

Wazazi wakiwa kwenye kituo cha afya cha Nyakitonto walipowapeleka watoto wao kupata chanjo ya kuzuwia maambukizi ya ugonjwa wa polio Alhamisia Mei 19, mwaka huu(2022).


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • KASULU DC YAANZISHA SHAMBA DARASA LA VIAZI LISHE KUKABILIANA NA UTAPIAMLO

    June 15, 2025
  • KUU KASULU YAKAGUA MIRADI YA MWENGE

    June 13, 2025
  • MATUMIZI YA ZANA ZA UFUNDISHAJI YATAJWA KUONGEZA UFANISI SHULENI

    June 11, 2025
  • WALIMU SHULE YA MSINGI KISUMA WATOA SHUKRANI KWA WADAU WALIOCHANGIA SARE NA VIFAA KWA WANAFUNZI

    June 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.