• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

WANANCHI WAASWA KUPINGA VITENDO VYA RUSHWA

Posted on: December 9th, 2022



Wananchi wa Mkoa Wa Kigoma wamehaswa kupinga vitendo vya Rushwa na aina yoyote ya ubadhilifu ili kuhakikisha miaka 61 ijayo ya uhuru inakuwa ya matumaini na mafanikio kwani vitendo hivyo vinaleta maendeleo ya wasiwasi, ukamilishaji wa miradi kuwa wa shida na kutopatikana kwa haki za huduma za wananchi 

Aliyasema hayo muwakilishi wa Mkuu Wa Mkoa Wa Kigoma Kanali Michael Masala Justine Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe alipokua akitoa salamu katika kongamano la maadhimisho ya siku ya uhuru wa Tanganyika yaliyofanyika kimkoa Wilayani Kasulu.

“Serikali inaweka fedha nyingi kwaajili ya miradi ya maendeleo sisi sote ni wafaidika wa miradi hiyo tusiseme miradi hii ni ya viongozi tu kila mmoja awe muwajibikaji katika kusimamia miradi ya maendeleo, tupinge sana rushwa na vitendo vyovyote vya ubadhilifu ili kuhakikisha miaka  61 ijayo inakuwa ya matumaini na mafanikio” alisema kanali Massala

Kwa upande wake Katibu Tawala Wa Mkoa Wa Kigoma Albert Msovera aliwashukuru viongozi wa wilaya ya kasulu kwa maandalizi mazuri na kuipongeza serikali kwa jitihada mbalimbali inazoendelea nazo na kuongeza kuwa serikali inafanya mambo mengi makubwa na inavipaombele vingi hivyo haiwezi kufanyia kazi kila kitu kwa pamoja

Msovera  aliongeza kuwa serikali ya Tanzania ni sikivu na inaendelea kufanya kazi kutokana na upatikanaji  wa fedha na mipango ya serikali iliyopo na kuahidi kuwa changamoto zote na mapendekezo yatafanyiwa kazi, vilevile aliwahasa watumishi wa mkoani humo kusimama katika nafasi zao ili kutoa huduma stahiki kwa wananchi .

   Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

Aidha Mkurugenzi Mtendaji Wa Halmashauri Ya Wilaya Ya Kasulu  Joseph Kashushura alieleza kuwa serikali inautayari wa kuwasaidia wananchi wake katika miradi wanayoanzisha lakini kumekuwa na ukiukwaji wa taratibu za utekelezaji wa miradi  hivyo kupelekea serikali kushindwa kufanya ukamilishaji   wa miradi hiyo.

Aliongeza kuwa serikali inasaidia kukamilisha miradi kwa asilimia 100 kwakutoa shilingi 12,500,000/= katika ikamilishaji wa  madarasa na 50,000,000/= kwa zahanati, licha ya nia nzuri ya wananchi walionayo kumekuwa na ukiukwaji wa Sheria, Taratibu Na Kanuni 

Kashushura Aliwashauri  Watendaji Na Waheshimiwa Madiwani kuhakikisha wanawaelewesha vyema wananchi juu ya utoaji wa taarifa na kufata utaratibu pindi wanapotaka kufanya shughuli yoyote ya maendeleo 

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • KASULU DC YAANZISHA SHAMBA DARASA LA VIAZI LISHE KUKABILIANA NA UTAPIAMLO

    June 15, 2025
  • KUU KASULU YAKAGUA MIRADI YA MWENGE

    June 13, 2025
  • MATUMIZI YA ZANA ZA UFUNDISHAJI YATAJWA KUONGEZA UFANISI SHULENI

    June 11, 2025
  • WALIMU SHULE YA MSINGI KISUMA WATOA SHUKRANI KWA WADAU WALIOCHANGIA SARE NA VIFAA KWA WANAFUNZI

    June 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.