• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

WANAFUNZI KUWA MABALOZI WA KUJISAJILI VYETI VYA KUZALIWA

Posted on: August 30th, 2024

Na Mwandishi Wetu, Kasulu

Katibu Tawala wa Wilaya ya Kasulu, Theresia Mtewele amewataka wanafunzi wa  shule za sekondari zilizopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu  mkoani Kigoma kuwa mabalozi wazuri kwenye kuhamasisha wazazi wao ili waweze kujitokeza wa wingi kwenye zoezi la uandikishaji wa vyeti vya kuzaliwa jwa watoto wenye umri wa siku 0-90.


Theresia aliyasema hayo jana  alipokuwa kwenye  ziara yake ya kutoa elimu na hamasa ya kujiandikisha kupata vyeti vya kuzaliwa katika shule za sekondari Kasangezi na Nkundusi zilizipo wilayani humo.

 Ambapo amesema kuwa  hamasa hiyo imelenga kusaidia dhima ya serikali inayotaka  watanzania wote kuwa na vyeti vya kuzaliwa ifikapo mwaka 2030 kwa ajili ya kuweka  takwimu sahihi  ikiwemi  kuweka mipango endelevu ya utoaji huduma stahiki kwa jamii.


“Tunajua nyinyi ni wababa na wamama watarajiwa naomba mlibebe hili katika hali ya ubalozi ili mkawaelimishe wazazi na walezi wenu umuhimu wa kuwa na cheti cha kuzaliwa ikiwemo kuwasaidia kuweka mahusiano ya matukio muhimu ya kibinadamu na katika ajira zenu katika siku za mbeleni”, amesema.


Kwa upande wake  Afisa Elimu Sekondari wa halmashauri hiyo, Iyogo Isuja ambaye aliyemwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Dkt. Semistatus H. Mashimba amesema kuwa suals la kuwa na cheti cha kuzaliwa ni haki ya msingi kwa kila mtoto wa kitanzania.


Pia,  amewashukuru wazazi waliojitokeza katika tukio hilo na kuwataka kuendelea kutoa ushirkiano katika zoezi hilo litakalowasaidia watoto wao kwenye kupata huduma tofauti katika jamii zao.

Kwa upande wake Afisa Ustawi wa  Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, Jalali Kiumbe amewataka wazazi  kujitokeza  kwenye  zoezi hilo  lililolenga watoto wa umri huo kuhakikisha  wanapata vyeti  hivyo kwakuwa ni nyaraka muhimu kwa siku zao za maisha yao yao ya mbeleni.


Ambapo ameeleza kuwa zoezi la utoaji wa Vyeti vya Kuzaliwa lilianza Oktoba-Disemba  mwaka 2023  kwa watoto wenye umri wa chini ya miaka 5 katika vituo vya kutolea huduma za afya na kwasasa zoezi hilo linaendelea kwa watoto wenye umri wa siku 0-90 kwenye  utambuzi wa taarifa zao.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • KASULU DC YAANZISHA SHAMBA DARASA LA VIAZI LISHE KUKABILIANA NA UTAPIAMLO

    June 15, 2025
  • KUU KASULU YAKAGUA MIRADI YA MWENGE

    June 13, 2025
  • MATUMIZI YA ZANA ZA UFUNDISHAJI YATAJWA KUONGEZA UFANISI SHULENI

    June 11, 2025
  • WALIMU SHULE YA MSINGI KISUMA WATOA SHUKRANI KWA WADAU WALIOCHANGIA SARE NA VIFAA KWA WANAFUNZI

    June 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.