• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

VIONGOZI WA VIJIJI WATAKIWA KUTOKUWA CHANZO CHA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI

Posted on: October 14th, 2023

Na Mwandishi wetu


Viongozi wa ngazi ya vijiji na vitongoji wilayani Kasulu mkoani Kigoma wameagizwa kujiepusha kuchochea migogoro ya wakulima na wafugaji.


Ambapo wametakiwa kufanya kazi kwa uadilifu ikiwemo kutoruhusu kisheria uingizwaji wa idadi kubwa ya mifugo katika maeneo yao.



Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma,Thobias Andengenye alipozungumza na wakazi wa Kata ya Nyamidaho wilayani humo,alipofanya ziara ya kikazi iliyolenga kukagua miradi ya maendeleo na kusikiliza kero zao.



"Nyinyi viongozi kuanzia ngazi ya vijiji acheni kutoa vibali vya kuruhusu mifugo kuingia katika maeneo yenu ya kiutawala huku mkijua wazi kuwa hakuna sehemu za malisho kutokana na maeneo yaliyopo kutumika kwa shughuli za kilimo," amesema.



Ameelekeza wafugaji kupeleka mifugo yao katika maeneo yaliyotengwa na Serikali kwa ajili ya malisho kufuatia kuwepo kwa malamiko ya wakulima kuwa wanachungia katika mashamba yao.


"Wapo wafugaji kutoka nje ya mkoa wamekuwa wakionesha uhitaji wa matumizi ya maeneo tengefu kwa ajili ya malisho ya mifugo lakini tumedhamiria kutoruhusu ili nyinyi mliopo mkatumie maeneo hayo na kuondoa migogoro," amesisitiza.


 

Katika hatua nyingine Andengenye amewahasa wazazi wa kata hiyo kukaa karibu na watoto wao kuanzia kipindi cha ujauzito hadi wanapokuwa ili kuwajengea siha na tabia njema siku za mbeleni.  


"Hakikisheni mnapendana huku mkiwapenda watoto wenu na mojawapo ya kigezo hicho ni kuona wanapata haki yao ya utambulisho wa kuzaliwa," ameshauri.


Pamoja na hayo pia ametoa wito kwa wazazi kuhakikisha wanafuatilia maendeleo ya watoto  wao mashuleni ili wapate ufaulu mzuri katika ngazi mbalimbali za kitaaluma wanazopitia.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • KASULU DC YAANZISHA SHAMBA DARASA LA VIAZI LISHE KUKABILIANA NA UTAPIAMLO

    June 15, 2025
  • KUU KASULU YAKAGUA MIRADI YA MWENGE

    June 13, 2025
  • MATUMIZI YA ZANA ZA UFUNDISHAJI YATAJWA KUONGEZA UFANISI SHULENI

    June 11, 2025
  • WALIMU SHULE YA MSINGI KISUMA WATOA SHUKRANI KWA WADAU WALIOCHANGIA SARE NA VIFAA KWA WANAFUNZI

    June 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.