• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

VIONGOZI WA CCM NGAZI YA KATA NA WANANCHI WASHIRIKISHWE KWENYE UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO- CHIDEBWE

Posted on: September 5th, 2024

Na Mwandishi Wetu 

Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma kimetaka ushirikishwaji wa jamiii na viongozi wa chama hicho ngazi ya kata ambazo miradi ya maendeleo inatekelezwa  ili ukamilikaji wake uweze kuwa na tija zaidi kwa wananchi.

Hayo yamebainishwa leo Alhamisi Septemba 5,2024 na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kasulu, Mbelwa Chidebwe wakati wa ziara ya kamati ya siasa ya wilaya hiyo   kukagua utekelelezaji wa ilani ya chama hicho kwenye miradi inayotekelezwa  Halmshauri ya Wilaya ya Kasulu.

“Kimsingi tunaendelea na ziara kukagua utekelezaji wa ilani kwenye miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu…yapo maeneo tumepita ambayo ushirikishwaji wa viongozi wa chama na wananchi tumekuta miradi inaendelea vizuri,” amesema.

 Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Mhe. Kanali Isaac Mwakisu amewataka wataalam hasa wale wanaohusika   na utekelezaji wa miradi ya maendeleo kubadilika ili waendane na utaratibu wa kisasa unavyoelekeza wa ufanyaji ukadiriaji wa vifaa ambao utakidhi  matakwa ya maradi.

“Haiwezekani unajenga choo ukakadiria vitu kama unajenga ghorofa  lazima ukadirie kama utaalam unavyotaka kufanya na wewe ni mzoefu tunategemea mazuri kutoka kwako kwakuwa umesoma katika fani hiyo…Mhe. Rais amekuwa anasisitiza sana jambo hili la miradi hivyo ni jukumu letu kama wataalam kuhakikisha tunaitekeleza katika ubora,” amesema.

Katika ziara hiyo kamati hiyo iletembelea ujenzi wa nyumba ya walimu ya mbili kwa moja katika Sule ya Sekondari Kamuganza,Matundu 13 ya vyoo Shule ya Msingi Kwiliba,madarasa matatu na vyoo vitano Shule ya Sekondari Nkundusi,Zahanati ya Chekenya na pia walifanya ukaguzi wa vifaa kwenye Kituo cha Afya cha Rungwe Mpya.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • KASULU DC YAANZISHA SHAMBA DARASA LA VIAZI LISHE KUKABILIANA NA UTAPIAMLO

    June 15, 2025
  • KUU KASULU YAKAGUA MIRADI YA MWENGE

    June 13, 2025
  • MATUMIZI YA ZANA ZA UFUNDISHAJI YATAJWA KUONGEZA UFANISI SHULENI

    June 11, 2025
  • WALIMU SHULE YA MSINGI KISUMA WATOA SHUKRANI KWA WADAU WALIOCHANGIA SARE NA VIFAA KWA WANAFUNZI

    June 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.