• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

NAIBU KATIBU MKUU UTUMISHI WA UMMA, AZUNGUMZA NA WATUMISHI-KASULU

Posted on: August 22nd, 2019

Naibu Katibu Mkuu. Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dk. Michael Francisakifafanua jambo kwa Watumishi wa Umma wa Halmashauri ya Wilaya na Mji wa Kasulu(hawapo pichani)

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mha.Godfrey Kasekenya (wa kwanza kulia) akisikiliza swali kutoka kwa Mtumishi(hayupo pichani) wakati Naibu Katibu Mkuu Utumushi wa Umma aliporuhusu watumishi  wa Wilaya ya Kasulu kuuliza maswali mbalimbali na kueleza changamoto zao.

Baadhi ya wakuu wa Idara na Vitengo pamoja na watumishi wa Wilaya ya Kasulu kutoka Kada mbalimbali  wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma Dk. Michael Francis wakati akiongea nao, mapema leo katika  Ukumbi wa Chuo cha Ualimu Kasulu.

Naibu Katibu Mkuu. Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dk. Michael Francis amekutana na  kuzungumza, kushauri kisha kutoa utatuzi wa Changamoto zinazowakabili watumishi wa kada mbalimbali katika Wilaya ya Kasulu.

Dk. Francis amekutana na watumishi hao leo tarehe 22.8.2019 katika Ukumbi wa chuo cha ualimu Kasulu, ambapo amewakumbusha wajibu wa Utumishi wa  Umma ikiwemo utendaji kazi kwa weledi, heshima kazini, kuboresha na kudumisha uwajibikaji ili kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli katika kuliendeleza Taifa.

Dk. Francis ametolea ufafanuzi kuhusu changamoto mbalimbali za kiutumishi ikiwemo malimbikizo ya Mishahara pamoja na madai mbalimbali ambapo alifafanua kuwa, Serikali imekuwa ikiendelea kulipa madeni hayo baada ya kuyahakiki kutokana na baadhi yake kutokuwa na uhalali na kukidhi vigezo.

Amewataka wanaohusika na kusimamia masuala ya ajira, kutenda haki kwa kuzingatia kanuni, Sheria na miongozo badala ya kutanguliza undugu, ujamaa, ukabila, Imani za kidini au namna yoyote ya Mahusiano katika utoaji wa ajira hizo.

Akipokea changamoto mbalimbali za watumishi, Dk. Francis amewaasa maafisa Utumishi kujenga mahuziano mazuri na watumishi wa kada mbalimbali wanaowasimamia hali itakayopelekea kuyafurahia mazingira ya kazi na kuwepo kwa utulivu.

Akiwasilisha changamoto zinazoukabili Mkoa wa Kigoma, Kaimu Katibu Tawala Mkoa Ndg. Daniel Machunda, amezitaja kuwa ni upungufu wa Watumishi wa Umma, uhaba wa Nyumba za watumishi, uwepo wa Madai ya stahiki mbalimbali za watumishi, kuchelewa kupandishwa vyeo, uwepo wa idadi kubwa ya watumishi wanaohama pamoja na baadhi ya wanaoajiriwa kushindwa kufika kwa sababu za usalama kutokana na Mkoa kupakana na Nchi ambazo hazina utulivu na Amani ya kudumu.

Ndg. Machunda ameyataja mafanikio mbalimbali yaliyofikiwa kiutekelezaji chini ya Serikali ya Awamu ya Tano, ikiwemo ongezeko la nidhamu kwa watumishi, udhibiti wa Ajira hewa, uboreshwaji wa utoaji wa huduma kwa watumishi wa Umma, kuendelea kuimarika kwa Ikama ya watumishi na udhibiti wa madeni yasiyo ya lazima.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • KASULU DC YAANZISHA SHAMBA DARASA LA VIAZI LISHE KUKABILIANA NA UTAPIAMLO

    June 15, 2025
  • KUU KASULU YAKAGUA MIRADI YA MWENGE

    June 13, 2025
  • MATUMIZI YA ZANA ZA UFUNDISHAJI YATAJWA KUONGEZA UFANISI SHULENI

    June 11, 2025
  • WALIMU SHULE YA MSINGI KISUMA WATOA SHUKRANI KWA WADAU WALIOCHANGIA SARE NA VIFAA KWA WANAFUNZI

    June 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.