• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

MKATABA WA UTOAJI HUDUMA KWA PAMOJA WAJADILIWA

Posted on: February 2nd, 2025

Na Mwandishi Wetu,Kasulu

Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma   imefanya mapitio ya mkataba wa utoaji wa huduma kwa pamoja na Hospitali ya Shunga Misheni iliyopo Kata ya Buhoro kwa lengo la kusogeza karibu huduma za afya kwa wananchi kwa gharama nafuu.

Akizungumza katika tukio hilo hospitalini hapo jana Februari 1,2025 Makamu Mwenyekiti wa Hlmashauri Hiyo,Raulent Poteza amesema ukamilishaji wa mkataba huo utaenda kuleta unafuu  na kusogeza karibu  huduma za kitabibu kwa wananchi wa eneo hilo na kata za jirani.

“Sisi tumekuja kwa niaba ya wananchi ukiangalia maudhui ya  mkataba utapunguza gharama kwa wananchi linapokuja suala la matibabu…kutoka 150,00 kuja 75,000 kwa kwa yale makundi maalum yanayojumuisha wakinamama,watoto,wazee na wale wanaotoka kaya maskini na sisi kama wajumbe wa Kamati ya Huduma za Jamii tunasubiri mchakato unaofuata uchakatwe,” amesema.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmshauri ya Wilaya ya Kasulu, Ndelekwa Vanica amesema kuwa kutokana na Hospitali ya Wilaya kuwa mbali na baadhi ya maeneo itasaidia wananchi kuja kwenye hospitali hiyo kupata huduma zinazoakisi na zile zinazotolewa na hospitali yetu kwa gharama nafuu.

Naye Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Shunga,Henry Ndege amesema kuwa mkataba huo utagusa makundi hayo maalum yatakayopata huduma za afya kwa gharama ndogo kwasababu za kiuchumi kwakuwa yakiachwa kutakuwa na changamoto za kiafya kwa makundi husika.

Awali akizungumza katika tukio hilo Mganga Mkuu wa Halmashauri hiyo, Tubeti Chacha amesema kuwa Mkataba utaakisi utoaji wa matibabu kwa gharama pungufu ya 50% kupitia viwango vilivyoainishwa katika Bima ya Taifa ya Afya.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • KASULU DC YAANZISHA SHAMBA DARASA LA VIAZI LISHE KUKABILIANA NA UTAPIAMLO

    June 15, 2025
  • KUU KASULU YAKAGUA MIRADI YA MWENGE

    June 13, 2025
  • MATUMIZI YA ZANA ZA UFUNDISHAJI YATAJWA KUONGEZA UFANISI SHULENI

    June 11, 2025
  • WALIMU SHULE YA MSINGI KISUMA WATOA SHUKRANI KWA WADAU WALIOCHANGIA SARE NA VIFAA KWA WANAFUNZI

    June 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.