• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

MAAFISA ELIMU WATAKIWA KUTATHMINI MATOKEO YA MTIHANI WA MOKO

Posted on: July 2nd, 2025

Na Mwandishi Wetu 

Maafisa elimu kata na walimu wakuu wa shule za msingi Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wametakiwa kufanya tathmini ya Mtihani wa Moko ili kuwatambua wanafunzi waliopata alama za chini na kuweka mikakati ya kuwawezesha kuongeza ufaulu.

Akizungumza kwenye kikao cha tathmini ya elimu leo Julai 2, 2025, Afisa Elimu Msingi wa Halmashauri hiyo, Elestina Chanafi, amesisitiza umuhimu wa kusaidia wanafunzi waliopata alama D na E kufikia C hadi A.

Aidha, amewataka walimu wakuu na maafisa elimu kuhakikisha matumizi sahihi ya mifumo ya serikali katika maeneo ya taaluma, utumishi, na fedha. Amesisitiza umuhimu wa kusimamia miradi inayoendeshwa mashuleni ili ikamilike kwa wakati na kuonyesha thamani halisi ya fedha zinazotumika.

Naye Afisa Uthibiti Ubora wa Shule, Leonsia Sugwejo, amesema tathmini kwa njia ya video imeonyesha mafanikio makubwa, ikiwemo kuibuka kwa Mwalimu Joseph Masika wa Shule ya Sekondari Kitanga kuwa miongoni mwa washindi wa juu kitaifa kwenye somo la Fizikia.

Afisa Ajira na Maendeleo ya Walimu (TSC) Wilaya ya Kasulu, Kazimoto Nkomoli, amewataka walimu kuzingatia matumizi sahihi ya mfumo wa E-Utendaji ili kuepuka madhara ya kutotambuliwa kiutumishi au kukosa fursa za maendeleo.


Kwa upande wake, Mratibu wa Mradi wa Shule Bora Mkoa wa Kigoma, Celestine Bukango, amehimiza shule kuwa na dira ili kuhakikisha shughuli zote zinaendeshwa kwa mwelekeo thabiti unaoakisi malengo ya shul

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA ELIMU WATAKIWA KUTATHMINI MATOKEO YA MTIHANI WA MOKO

    July 02, 2025
  • KASULU YAWEZESHA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU KWA MIKOPO YA MILIONI 870

    June 20, 2025
  • KASULU DC YAWAAGA MADIWANI WALIOHITIMISHA KIPINDI CHAO CHA MIAKA MITANO

    June 20, 2025
  • KASULU DC YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI PAMOJA NA KUPUNGUZA IDADI ZA HOJA HADI KUFIKIA TARAKIMU MOJA

    June 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.