• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

KASULU DC YAADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU KWA KUFANYA USAFI

Posted on: December 9th, 2024

Na Mwandishi Wetu 

Katika kutekeleza agizo la Mhe. Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan lililotaka  kila mkoa kuhakikisha wilaya inafanya shughuli za kijamii kama njia mojawapo ya kusheherekea maadhimisho ya Miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara.

 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, Dkt. Semistatus H. Mashimba ameongoza zoezi usafi katika Hospitali ya Wilaya ya Kasulu na vituo vyote vinavyotoa huduma za afya lililoambatana na uchangiaji wa damu kwa kushirikiana  na Kambi ya Jeshi ya 825 JKT Mtabila.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi, Afisa Usafi na Udhibiti wa Taka wa Halmashauri hiyo , Ndelekwa Vanica amehimiza jamii kushiriki mazoezi hasa yale ya usafi ya kitaifa likiwemo lile la kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi ili kusaidia mazingira kuwa katika hali ya usafi.

“Serikali imeshatoa tamko kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi ni wajibu wa kila mwananchi kushiriki shughuli za usafi  na niwaombe kambi ya Mtabila kila tutakapowaita katika mazoezi hayo mje kama njia mojawapo ya kuhamasisha jamii  kushiriki usafi huo,” amesema.

Naye Kaimu Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mageni Pondamali ameishukuru Kambi ya JKT Mtabila kwa uchangiaji wao wa damu kutokana na  hospitali hiyo kuwa na uhaba wa huduma hiyo kitu kitakachosaidia kuokoa maisha ya watu wengi.

Katika hatua nyingine Mratibu wa Huduma za Maabara wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, Jasimen Meru  amesema kuwa  zoezi la uchangiaji damu limesaidia ukusanywaji wa chupa 36 zenye ujazo wa 'Mils' 450 kwa kila moja zitakazokwenda kusaidia watu wenye matatizo ya Seli Mundu,wamama wajawazito,watoto chini ya miaka mitano pamoja na majeruhi wa ajali.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • KASULU DC YAANZISHA SHAMBA DARASA LA VIAZI LISHE KUKABILIANA NA UTAPIAMLO

    June 15, 2025
  • KUU KASULU YAKAGUA MIRADI YA MWENGE

    June 13, 2025
  • MATUMIZI YA ZANA ZA UFUNDISHAJI YATAJWA KUONGEZA UFANISI SHULENI

    June 11, 2025
  • WALIMU SHULE YA MSINGI KISUMA WATOA SHUKRANI KWA WADAU WALIOCHANGIA SARE NA VIFAA KWA WANAFUNZI

    June 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.