• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

ANDENGENYE AFUNGUA MAFUNZO YA MATUMIZI YA TAKWIMU ZA SENSA 2022

Posted on: September 22nd, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma,Mhe.Thobias Andengenye leo Jumapili Septemba 22,2024 amefunga mafunzo ya Usambazaji na Matumizi ya Takwimu za Sensa ya Watu na Makazi kwa mwaka 2023.

_

Tukio hilo limefanyika katika Shule ya Sekondari ya Bogwe  wilayani Kasulu na kuhusisha viongozi,makundi maalum na wadau mbalimbalu mkoani humo.

_

Tofauti na makundi hayo pia waudhuriaji wengine walikuwa Naibu Waziri TAMISEMI,Mhe. Zainab Katimba,Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma,Hassan Rugwa,wakuu wa wilaya wa mkoa huo,Mwakilishi wa Mtakwimu Mkuu wa Serikali,wakurugenzi wa halmashauri,viongozi wa vyama vya siasa pamoja na madhehebu ya dini.

Akizungumza katika tukio hilo Andengenye amesema kuwa lengo la Serikali ya Awamu ya Sita  ni kuongeza uelewa, uwazi na kupanua wigo wa matumizi ya Sensa ya Mwaka 2022 katika kupanga mipango jumuishi kwa maendeleo endelevu ya kiuchumi na kimazingira


Aidha,  amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa huo kupitia kitengo cha Mawasiliano serikalini na Teknolojia ya Habari kuhakikisha matokeo hayo yanaweka katika tovuti zote za halmashauri ili kusaidia wananchi kupata taarifa hizo Kwa urahisi ili kuutangaza Mkoa Kwa wadau


 Naibu waziri  OR-TAMISEMI, Mhe. Zainab Katimba amesema kuwa wanatambua umuhimU wa matokeo ya sensa ambayo usaidia katika kupanga maendeleo kwa kuangalia sehemu za kuongeza nguvu.

Na kuongeza kuwa nchi inapoelekea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 matokeo hayo yatasaidia kuwaongoza kupata vituo na vifaa vinavyohitajika katika uchaguzi husika.


Kwa upande wake Afisa Takwimu Mwandamizi  Omary Mdoka amezitaka Halmashauri kutumia matokeo hayo ili kuakisi mahitaji ya wananchi wanao wahudumia ili kusadia kuboresha ukusanyaji wa mapato.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • KASULU DC YAANZISHA SHAMBA DARASA LA VIAZI LISHE KUKABILIANA NA UTAPIAMLO

    June 15, 2025
  • KUU KASULU YAKAGUA MIRADI YA MWENGE

    June 13, 2025
  • MATUMIZI YA ZANA ZA UFUNDISHAJI YATAJWA KUONGEZA UFANISI SHULENI

    June 11, 2025
  • WALIMU SHULE YA MSINGI KISUMA WATOA SHUKRANI KWA WADAU WALIOCHANGIA SARE NA VIFAA KWA WANAFUNZI

    June 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.