• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

88% HAWATUMII TEKNOLOJIA ZILIZOBORESHWA KUPIKA

Posted on: August 30th, 2024

Na Mwandishi Wetu, Kasulu


Imeelezwa kuwa  88% ya watu hutumia teknolojia zisizoboreshwa kupikia ambazo si salama kwa afya  kitu kinachopelekea uharibifu mkubwa wa mazingira na kupelekea mabadiliko ya tabianchi.


Hayo yamebainishwa na Afisa Tarafa ya Buyonga, Paul Ramadhan leo Ijumaa Agosti 30, 2024 alipo muwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Kasulu,Mhe. Kanali Isaac Mwakisu katika hafla ya uzinduzi wa Programu ya Mawasiliano ya Mabadiliko ya Tabia 'Behaviour Change Communication' inayosimamiwa na shirika la maendeleo la Uholanzi (SNV).

Na kuongeza kuwa uwepo wa programu hiyo ni mpango wa kuongeza uelewa kwa wananchi juu ya umuhimu wa utunzaji wa mazingira kwa lengo la kupunguza matumizi ya nishati na teknolojia zisizo safi kwa kupikia kupitia matumizi ya majiko sanifu, kuongeza uelewa juu ya njia bora za mapishi pamoja  na matumizi ya teknolojia safi na Salama.


“Kutokana na tafiti mbalimbali zilizofanyika, taarifa zinaonesha kuwa matumizi ya majiko yasiyo rafiki kwa mazingira yanachangia kwa kiasi kikubwa matatizo ya kiafya pamoja na ukataji holela wa miti huku zaidi ya watu 33,000 wakifariki kila mwaka nchini Tanzania kutokana na matumizi ya nishati zisizofaa”, amesema.

Naye Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, Emmanuel Ladislaus amesema kuwa mradi huo umejikita zaidi katika kuhakikisha uhifadhi wa mazingira unafanikiwa.


“Ndugu zangu mazingira ndio uhai wetu hii mikakati yote inayofanywa na wadau wetu ni kuhakikisha kwamba inaisaidia serikali kufanikisha lengo la sera ya taifa ya kuboresha maisha ya wananchi kupitia matumizi ya nishati za kupikia za kisasa”,  amesema.

Kwa upande wake Afisa Mazingira wa Halmashauri hiyo, Hassan Liangwana ameeleza kuwa wapo katika mkakati wa kuhakikisha kuwa  80% ya wananchi wa halmashuri husika wanatumia nishati na teknolojia safi  za kupikia ifikapo mwaka 2030.


Aidha,  amesema kuwa ni muhimu kutekeleza jitihada hizo kwa wananchi kuhamia katika matumizi ya nishati nyingine kwa ajili ya kupikia ikiwemo gesi asilia, gesi oevu na umeme ili kuepukana na uharibifu wa mazingira na matatizo ya kiafya yanayohusiana na moshi.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • KASULU DC YAANZISHA SHAMBA DARASA LA VIAZI LISHE KUKABILIANA NA UTAPIAMLO

    June 15, 2025
  • KUU KASULU YAKAGUA MIRADI YA MWENGE

    June 13, 2025
  • MATUMIZI YA ZANA ZA UFUNDISHAJI YATAJWA KUONGEZA UFANISI SHULENI

    June 11, 2025
  • WALIMU SHULE YA MSINGI KISUMA WATOA SHUKRANI KWA WADAU WALIOCHANGIA SARE NA VIFAA KWA WANAFUNZI

    June 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.