• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

WATENDAJI WA KATA KASULU WAPEWA PIKIPIKI

Posted on: March 29th, 2022


HALMASHAURI ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, imetoa pikipiki 10 kwa watendaji wa kata zilizonunuliwa  kutokana na pesa za Mapato ya ndani, anaripoti Respice Swetu.

Akizungumza wakati wa kukabidhi pikipiki hizo, mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Isack Mwakisu, amewataka watendaji hao kuzitunza pikipiki hizo na kuzitumia kwa malengo yaliyokusudiwa ili kuongeza tija na kuboresha utendaji kazi. 

Mwakisu aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo, amewataka watendaji hao kujiepusha na matumizi yasiyo sahihi ikiwa ni pamoja na kuendesha bila kuwa na leseni.

Amesema kumekuwepo na taarifa kuwa ajali nyingi zinazotokea barabarani, husababishwa na madereva wanaoendesha vyombo vya serikali hivyo hatarajii hali hiyo kutokea.

Kwa upande wake, Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu 

Joseph Kashushura, ameonesha matumaini makubwa kuwa, kununuliwa kwa pikipiki hizo, kutaboresha ukusanyaji  wa mapato na kurahisisha ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo iliyopo kwenye vijiji na kata.

“Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu imekuwa ikitekeleza maelekezo ya serikali kuhusu kutumia sehemu ya pesa zitokanazo na mapato ya ndani katika maeneo mbalimbali ikiwemo kulipa posho za watendaji wa kata, sisi tumekwenda mbali zaidi kwa kuwanunulia na pikipiki”, alisema.

Kashushura alizitaja kata zilizopata pikipiki kuwa ni Kitanga, Asante Nyerere, Kwaga, Kurugongo, Kalela, Kigembe, Shunguliba, Heru Ushingo, Titye na Makere na kuahidi kuwa zilizobaki zitanunuliwa awamu ya pili.

Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Isack Mwakisu (aliyesimama) akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi pikipiki kwa watendaji wa kata 10 za Halmashauri ya Wilaya ya kasulu, kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Halmashauri Joseph Kashushura na kulia kwake ni afisa utumishi na rasilimali watu wa halmashauri hiyo, Michael Magesa.




Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • PAMBA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

    May 08, 2025
  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.