• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

WATAALAMU WA UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST WATAKIWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO

Posted on: December 22nd, 2022


Wataalam wa Utekelezaji wa Mradi wa Kuboresha Elimu ya Awali na msingi "BOOST' wametakiwa kutekeleza majukumu yao ili kupata matokeo chanya katika utekelezaji wa mradi huo mara baada ya kupata ujuzi mpya wa kujengewa uwezo na kuhakikisha wanafanya maboresho makubwa katika mfumo wa elimu Nchini

Ameyasema hayo  Bi. Paulini Ndigeza alipokua akifungua mafunzo elekezi kwaajili  ya kuwajengea uwezo Wataalamu Wa Utekelezaji Wa Mradi huo kwa kanda ya magharibi   Kanda ya Magharibi yaliyofanyika Katika Chuo Cha Ualimu Kasulu Mkoani Kigoma.

"Tutumie nafasi hii kujifunza kwa bidii na tuhakikishe tunaelewa dhamira ya mradi huu kwa kuwa malengo ya serikali na wahisani ni kuhakikisha tunafanya maboresho makubwa katika mfumo wa Elimu  nchini ikiwemo kuongeza udahili wa elimu awali pamoja na kujenga  mazingira rafiki ya ujifunzaji na ufundishaji" amesema Ndigeza

Aidha amemshukuru Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwekeza kiasi kikubwa cha Fedha na kuidhinisha ujenzi wa Miundimbinu ya Elimu pamoja na kuwezesha  utekelezaji wa kazi  mbalimbali za kielimu nchini.

Kwa upande wake Mwezeshaji Wa Mafunzo hayo Bi. Joyce Mushi kutoka OR-TAMISEMI, amesema mradi huo wa BOOST unaofadhiliwa na Benki ya Dunia, unathamani ya shilingi Tril. 1.5 ambazo ni ufadhili wa benki ya dunia ukiwa una lengo la kuzifikia shule 6000 na kuwafikia zaidi ya watoto milion 12 nchinii.

Mafunzo hayo ya siku mbili yanaratibiwa na kutekelezwa na Wizara ya OR-TAMISEMI, wizara ya Elimu na Sayansi  na teknolojia pamoja na Wizara ya Fedha  ambapo washiriki wanajengewa uwezo katika afua za uboreshaji wa miundombinu, uwekaji mazingira salama ya ufundishaji na ujifunzaji, kuongeza udahili wa wanafunzi wa elimu awali, uboreshaji mazingira ya kielimu, utoaji wa mafunzo endelevu kwa walimu kazini, kuwezesha upatikanaji wa rasilimali za utoaji huduma katika Halmashauri

Timu za utekelezaji wa mafunzo hayo, zinaundwa na Wakuu wa Idara na Vitengo vya Elimu Msingi, Manunuzi, Maendeleo Ya Jamii, Uthibiti Ubora wa Elimu Walimu ngazi ya Shule za Msingi Wahandisi, Maafisa Habari pamoja na Mratibu Ngazi Ya Mkoa

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • PAMBA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

    May 08, 2025
  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.