• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA KWA USAFI NA MATUMIZI BORA YA VYOO-ASANTE NYERERE

Posted on: May 22nd, 2018

Jengo la choo cha kisasa kilichojengwa katika shule ya Msingi Asante Nyerere.

Walimu na wanafunzi katika shule ya msingi Asante Nyerere iliyopo katika kata ya Asante Nyerere wilayani hapa, wamepongezwa kwa matumizi bora ya vyoo vya kisasa vilivyojengwa na Serikali shuleni hapo.

Pongezi hizo zimetolewa na afisa elimu ufundi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Bw. Gerard Nkona  akiwa katika ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo ambayo imefanywa na wajumbe wa Kamati ya Fedha Uongozui na Mipango ya wilaya. “Ni nadra kwa wanafunzi wenye umri mdogo kutumia vyoo vya kisasa kwa usahihi tena wakiwa katika idadi kubwa wakati  matundu ni machache” alisema Nkona.

Mwalimu mkuu wa shule hiyo, Bw. Edwin Nduhire amesema ujenzi wa choo hicho umegharimiwa na Fedha kutoka Serikali kuu (P4R) ambapo  Jumla ya Shilingi 6,600,000/ zimetumika kukamilisha ujenzi wa vyoo hivyo. Alisema kuwa, upo mkakati wa  kujenga matundu mengine kumi kwa nguvu za wananchi ili kukabiliana na changamoto ya uhaba wa matundu ya  vyoo  kwani shule ina jumla ya wanafunzi 1771.

“Pamoja na changamoto za uhaba wa walimu, madarasa na matundu ya vyoo, shule ya msingi Asante Nyerere imekuwa ikifanya vizuri kitaaluma katika matokeo ya darasa la Saba. Mwaka 2016 iliongoza  kwa kuwa ya kwanza kiwilaya  ambapo  mwaka 2017 ilishika nafasi ya 8” alihitimisha Nduhire.

“Diwani wa kata hiyo Mh.Elias Masende amewaomba wananchi waendelee kujitolea kwani maendeleo yanaletwa na wananchi wenyewe. nitajitahidi kusimamia kwa nguvu zote kuhakikisha michango ya wananchi inatumika kama ilivyopangwa” alisisitiza Masende.

Kaimu afisa Mipango, Takwimu na ufuatiliaji Wilaya ya Kasulu Bw. Fadhili Juma amesema kuwa, ameridhishwa na ujenzi wa vyoo hivyo, hali ya usafi iliyopo na amesisitiza elimu ya matumizi  bora ya vyoo iendelee kutolewa shuleni hapo ili kudumisha Afya za wanafunzi wanaotumia vyoo hivyo.

Naye Mkuu wa Idara ya usafi na mazingira  wilaya Bw. Nimrod Kiporoza amesema wamekuwa wakitoa  elimu ya matumizi bora ya vyoo na usafi wa mazingira kwa walimu na wanafunzi ili kudumisha mazingira safi na salama katika maeneo ya kufundishia na kujifunzia. Ameitaka Jamii kuzingatia na kudumisha utaratibu wa kuweka mazingira safi wakati wote.


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • WALIMU SHULE YA MSINGI KISUMA WATOA SHUKRANI KWA WADAU WALIOCHANGIA SARE NA VIFAA KWA WANAFUNZI

    June 05, 2025
  • MAFUNZO YA SIKU TATU YA KKK KWA WALIMU WA DARASA LA KWANZA NA LA PILI YAFIKIA TAMATI KASULU

    June 05, 2025
  • KASULU DC YAENDELEA KUWAJENGEA UWEZO WALIMU WA MADARASA YA AWALI

    June 03, 2025
  • VIONGOZI WA TAASISI ZA ELIMU NA IDARA YA AFYA KASULU WATAKIWA KUSIMAMIA USAFI WA MAZINGIRA

    June 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.