• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

WALIMU KASULU DC WAFUNDWA KUTOKUFANYA KAZI KWA MAZOEA

Posted on: June 3rd, 2024

Na Mwandishi Wetu

Walimu wa shule za msingi na sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuacha kufundisha kwa mazoea na badala yake wahakikishe wanawapa watoto ujuzi na si  kuharakisha  kumaliza mada (Topics)  ili kupandisha kiwango cha ufaulu.

Rai hiyo imetolewa leo Jumatatu  Juni 3, 2024  wilayani humo  na Naibu Katibu Mkuu OR TAMISEMI (Elimu) Dkt. Charles  Msonde alipokuwa anaonge na walimu hao katika ukumbi wa Chuo Cha Ualimu Kabanga.

Amesema ili kufanikisha mkakati wa serikali wa kuongeza ufaulu ni lazima wazingatie misingi minne ya ufundishaji inayojumuisha  uwezo alionao mtoto, mazingira wanayopatia elimu, umri waliokuwa nao ili ujue unaenda nao vipi pamoja na utayari wa kupokea unachokitoa kwao.

“F yoyote ni ya mwalimu si mwanafunzi KPI ya kila mwalimu ni kuhakikisha kwenye somo lako hakuna F…ukiangalia ukaona walimu waliokutangulia wamefanya makosa rekebisha kwa kufanya hivyo hawataona kile unachowafundisha ni kigumu,” amesema.

Aidha, ameelekeza walimu wa shule za sekondari kuhakikisha wanafunzi wanapojiunga na kidato cha kwanza wanawajengea ujuzi wa kujua lugha ya kiingereza kwa kuandika, kuzungumza, kuelewa na kusoma alafu mchakato wa kuufundisha masomo mengine ndio uendelee.

Katibu Tawala wa Wilaya ya Kasulu, Theresia Mtewele akizungumza katika tukio hilo amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuipa kipaumbele elimu hasa katika mkoa wa Kigoma kwa kuleta pesa nyingi zilizosaidia kuboresha miundombinu ya ufundishaji.

“Halmashauri ya Wilaya Kasulu imeletewa pesa nyingi zilizosimamiwa vizuri na walimu miradi imetekelezeka kweli kweli …na  sasa tunakwenda na ajenda nyingine miundombinu ipo ni jukumu letu walimu kuhakikisha tunazingatia viwango vya ubora wa elimu ili miradi hii iweze kuleta tija,” amesema.

 Naye Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, Ndelekwa Vanica amesema kuwa halmashauri itahakikisha inatekeleza yale yote waliyoagizwa ili kuleta mabadiliko katika sekta ya elimu na matokeo yake yataonekana.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA ELIMU WATAKIWA KUTATHMINI MATOKEO YA MTIHANI WA MOKO

    July 02, 2025
  • KASULU YAWEZESHA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU KWA MIKOPO YA MILIONI 870

    June 20, 2025
  • KASULU DC YAWAAGA MADIWANI WALIOHITIMISHA KIPINDI CHAO CHA MIAKA MITANO

    June 20, 2025
  • KASULU DC YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI PAMOJA NA KUPUNGUZA IDADI ZA HOJA HADI KUFIKIA TARAKIMU MOJA

    June 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.