• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

WADAU WA KILIMO WAASWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SERIKALI

Posted on: September 30th, 2025

Na Mwandishi Wetu 

Katibu Tawala wa Wilaya ya Kasulu, Theresia Mtewele, amesema wadau wa maendeleo katika sekta ya kilimo wanapaswa kushirikiana na serikali ili kusaidia wakulima kufanya kilimo chenye tija, jambo litakalosaidia kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya halmashauri na kuongeza kipato cha wananchi.

Ametoa kauli hiyo leo, Septemba 30, 2025, wakati akifunga kikao cha wadau wa kilimo wa Mkoa wa Kigoma, ambapo amebainisha kuwa usalama wa chakula katika mkoa huo uko vizuri kutokana na hamasa inayotolewa kwa wakulima, na hivyo akasisitiza wadau waendelee kushirikiana na serikali katika kuimarisha sekta hiyo.

“Niwaombe muendelee kushirikiana na serikali kwakuwa tumeelekezwa kuhamasisha ukusanyaji wa mapato, na katika mkoa wetu kilimo ndicho kinachochangia kwa kiasi kikubwa,” amesema Theresia.

Aidha, amewataka wadau hao kutumia kipindi hiki cha maandalizi ya bajeti kuweka maazimio muhimu ili kuepuka changamoto wakati wa utekelezaji.

Kwa upande wake, Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, amesema kuna umuhimu wa kuanzisha jukwaa la kudumu la wadau wa kilimo kwa ajili ya kuonyesha bidhaa na shughuli zao badala ya kutegemea maonesho ya Nanenane pekee.

Awali, Mwenyekiti wa Maafisa Kilimo wa Mkoa wa Kigoma, Keneth Tefurukwa, alisema kikao hicho kimebaini changamoto mbalimbali na namna ya kuzitatua, na hivyo wamejipanga kuyafanyia kazi maazimio yote yaliyofikiwa.

 

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • WANANCHI KASULU WAASWA KUCHANGAMKIA HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA

    September 30, 2025
  • WADAU WA KILIMO WAASWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SERIKALI

    September 30, 2025
  • WADAU WA KILIMO KIGOMA WAJADILI USHIRIKIANO KUINUA KILIMO CHENYE TIJA

    September 29, 2025
  • SIRRO AAGIZA UCHUNGUZI VIFO VYA SAMAKI MALAGARASI

    September 26, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.