• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

WADAU WA KILIMO KIGOMA WAJADILI USHIRIKIANO KUINUA KILIMO CHENYE TIJA

Posted on: September 29th, 2025

Na Mwandishi Wetu 

Wadau wa kilimo mkoani Kigoma leo, Septemba 29, 2025, wamekutana wilayani Kasulu kujadili njia za kuimarisha ushirikiano ili kutumia rasilimali zilizopo kwa maendeleo ya kilimo chenye tija na uhakika wa soko.

Akizungumza kwenye kikao hicho, Katibu Tawala Msaidizi wa Sehemu ya Uchumi na Uzalishaji mkoani humo, James Peter, amesema jukwaa hilo linatoa fursa kwa wadau kuwasilisha tathmini ya utekelezaji wa shughuli zilizopita na kueleza mikakati ya mwaka huu.

“Kila mdau ana mchango wake katika sekta ya kilimo. Tunapokutana tunashirikishana, tunashauri na kuongeza mashirikiano ili kutumia rasilimali zilizopo, ikiwemo kuwezesha upatikanaji wa masoko ya uhakika,” amesema.

Kwa upande wake, Kilio Mnyoreka kutoka Mradi wa Youth Entrepreneurship for the Future of Food and Agriculture (YEFFA), amesema wamewezesha vijana kutoegemea masoko ya ndani pekee kwa kuwapatia taarifa sahihi za masoko mengine, jambo linalowawezesha kuuza bidhaa zao maeneo mbalimbali.

Naye Afisa Kilimo wa Mamlaka ya Uthibiti Mazao ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA), Mary Mlay, amebainisha kuwa mikakati yao mkoani Kigoma inalenga kutafuta wawekezaji katika zao la muhogo ili kuongeza thamani na kupanua soko, ikiwemo kuuza bidhaa nje ya nchi.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • WANANCHI KASULU WAASWA KUCHANGAMKIA HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA

    September 30, 2025
  • WADAU WA KILIMO WAASWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SERIKALI

    September 30, 2025
  • WADAU WA KILIMO KIGOMA WAJADILI USHIRIKIANO KUINUA KILIMO CHENYE TIJA

    September 29, 2025
  • SIRRO AAGIZA UCHUNGUZI VIFO VYA SAMAKI MALAGARASI

    September 26, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.