• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

VIONGOZI WATAKIWA KUSIMAMIA SUALA LA USAFI ILI KUDHIBITI KIPINDUPINDU

Posted on: January 19th, 2024

Na Mwandishi Wetu 

Ili kukabiliana na ugonjwa wa Kipindupindu waratibu wa shughuli mbalimbali za kiserikali wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuhakisha maeneo wanayoyasimamia yanakuwa katika hali ya usafi  ikiwemo takataka kuondolewa kwa wakati sehemu zinapohifadhiwa.

Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaac Mwakisu ameyabainisha hayo hivi karibuni kwenye Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya (DCC).

 Kikao kilichokuwa na lengo la kuibua vyanzo vipya vya mapato ili vipate kujumuishwa kwenye bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

“Kasulu ama Mkoa wa Kigoma tumepakana na mikoa yenye viashiria vya ugonjwa wa Kipindupindu na ugonjwa huu wote tunatambua unasababishwa na uchafu, sasa Kasulu inakuwa  uzalishaji wa taka umekuwa mkubwa tusipokuwa makini kuzidhibiti tutaingia kwenye matatizo ya Kipindupindu” amebainisha.

Aidha, Mwakisu aliwataka watendaji wa kata kuhakikisha watoto wanaandikishwa kujiunga na elimu ya msingi pamoja na ile ya sekondari.

“Nataka watoto waende shule kwa mujibu wa TAMISEMI watoto wa ‘form one’ wanatakiwa kuripoti mwisho mwezi wa tatu tarehe 30 lakini mimi sitaki kufika huko,” amesema.

Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Kasulu, Eliya Kagoma aliwataka wajumbe wa mkutano huo kuja na kauli mbiu ya kupambana na vitendo vya ramli chonganishi maarufu kama Kamchape.

“Muheshimiwa Mkuu wa Wilaya napendekeza kama ikikupendeza tuwe na falsafa ambayo watu wa afya walikuwa wanasema Malaria haikubaliki tushirikiane kuitokomeza…nilikuwa nimewaza wazo tutembee na kauli mbiu kwamba Kamchape haikubaliki tushirikiane kuitokomeza,” amebainisha.

Naye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Wilaya hiyo, Mbelwa Chidebwe alishauri kuwepo na usimamizi mzuri wa shughuli za ukusanyaji mapato ili malengo yaliyowekwa na halmashauri yaweze kutimia kwa mwaka huo wa fedha.

Kikao hicho kiliudhuriwa na wajumbe kutoka kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya, viongozi wa vyama vya siasa, maafisa wa serikali, wakuu wa idara wa halmashauri hiyo, taasisi za kifedha, mashirika ya kimataifa na  wadau wa zao la Pamba na Tumbaku.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • KASULU YASHUHUDIA MAENDELEO MAKUBWA MIAKA 61 YA MUUNGANO

    April 26, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.