• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

SKIMU YA UMWAGILIAJI UKOMBOZI MPYA KWA MKULIMA RUNGWEMPYA-KASULU.

Posted on: May 21st, 2018

Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango  Halmashauri  ya Wilaya ya Kasulu, wakijadili jambo baada ya kutembelea na kujionea hali halisi ya utekelezaji wa Mradi wa Skimu ya umwagiliaji katika Kata ya Rungwempya.

Na.Andrew Mlama.

Wakulima katika kata ya Rungwempya iliyopo wilayani hapa, waepuke Kilimo cha kutegemea mvua za msimu na badala yake waelekeze nguvu zao katika Kilimo cha umwagiliaji kwa kuitumia Skimu ya umwagiliaji iliyopo katani hapo.

Kilimo cha umwagiliaji hufanyika wakati wote wa mwaka bila kuathiriwa na wingi, uchache au kutokuwepo kabisa kwa mvua. Mfumo mzuri wa usambazaji maji ambapo kuna mifereji  yenye jumla ya urefu wa mita 3400 inayogawanya maji mashambani, inapelekea sehemu  kubwa katika eneo la bonde  lenye ukubwa wa Hekta 125 lililopo katani hapo kupata maji wakati wote.

Ikumbukwe, aina hii ya Kilimo ni ya kisasa na humuhakikishia mkulima mavuno kwani mara nyingi mazao yanayolimwa katika bonde  hilo ni yale ya muda mfupi ambayo hutumia mwezi 1 hadi 4 kukomaa na kuwa tayari kwa kuvunwa. Mpunga, Mahindi na mbogamboga ni sehemu ya mazao hayo ambapo kila mkulima akiweka mkakati mzuri atajihakikishia kuongeza kipato chake kupitia kilimo hicho.

Uwepo wa maji ya uhakika katika eneo hilo, umeruhusu  shughuli nyingine za maendeleo ambazo zinafanywa na wananchi ikiwemo ufugaji wa kisasa wa Samaki.

Halmashauri ya wilaya ya Kasulu na Serikali kwa ujumla imelipa kipaumbele suala la kilimo cha umwagiliaji ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi ambayo yameathiri kwa kiasi kikubwa mwenendo wa mvua nchini kote.

Utunzaji wa Mazingira hasa ulinzi wa vyanzo vya maji, utapelekea ufanisi mkubwa katika aina hii ya Kilimo. Shime wakazi  wa Kata ya Rungwempya, wakati ndio huu kwani ipatikanapo fursa tuonyeshe mabadiliko ambapo kwa kufanya hivyo tutakua tunaunga mkono juhudi za Rais wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ili kufikia malengo ya Tanzania ya Viwanda.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • PAMBA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

    May 08, 2025
  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.