• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

SIRRO AAGIZA UCHUNGUZI VIFO VYA SAMAKI MALAGARASI

Posted on: September 26th, 2025

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Mhe. Balozi Simon Sirro, ameagiza kufanyika uchunguzi wa haraka kubaini chanzo cha vifo vya samaki vilivyoripotiwa katika Mto Malagarasi, kijiji cha Kigadye wilayani Kasulu.

Akikagua eneo hilo akiwa na Kamati ya Usalama ya Mkoa na Wilaya, Sirro amewataka wananchi kuepuka kutumia samaki waliokufa kama kitoweo na pia kuwa waangalifu katika matumizi ya maji ya mto huo hadi matokeo ya uchunguzi yatakapobainishwa.


Afisa Usafi na Mazingira wa Mkoa huo, Nesphory Sungu, amesema sampuli za maji tayari zimechukuliwa kwa ajili ya uchunguzi wa kitaalamu, huku akibainisha kuwa hadi sasa hakuna madhara yaliyothibitishwa. Aidha, amewasihi wananchi watakaopata changamoto za kiafya baada ya kula samaki hao kufika hospitalini mara moja kwa uchunguzi na matibabu.


Kwa upande wake, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Dkt. Damas Kayera, amethibitisha kuwa hakuna mgonjwa aliyeripotiwa kuathirika, lakini ameendelea kuwasihi wananchi kufika vituo vya afya haraka iwapo watapata dalili zozote zinazohusiana na matumizi ya maji ya mto huo.


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • WANANCHI KASULU WAASWA KUCHANGAMKIA HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA

    September 30, 2025
  • WADAU WA KILIMO WAASWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SERIKALI

    September 30, 2025
  • WADAU WA KILIMO KIGOMA WAJADILI USHIRIKIANO KUINUA KILIMO CHENYE TIJA

    September 29, 2025
  • SIRRO AAGIZA UCHUNGUZI VIFO VYA SAMAKI MALAGARASI

    September 26, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.