• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

SHILINGI MILIONI 820 KUJENGA VYUMBA 41 VYA MADARASA

Posted on: November 14th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, imeanza kutekeleza ujenzi wa vyumba 41 vya madarasa ya shule za sekondari baada ya kupokea shilingi milioni 820 kwa ajili ya ujenzi huo, anaripoti Respice Swetu.


Mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanali Isack Mwakisu ametoa taarifa hiyo alipokuwa akizungumza na baraza la madiwani wa halmashauri ya Wilaya ya Kasulu katika ukumbi wa halmashauri hiyo hivi karibuni.


Amesema kuwa mara baada ya kufika kwa pesa hizo, halmashauri ya Wilaya ya Kasulu ilianza utekelezaji wa ujenzi huo ambapo mpaka sasa, hatua mbalimbali za ujenzi zimefikiwa. 


"Nimezunguka shule zote kuona kazi inavyokwenda, maeneo mengi yapo kwenye msingi na wengine wameanza kupandisha ukuta, changamoto iliyopo ni upungufu wa saruji," alisema.


Kufuatia upungufu huo, Kanali Mwakisu ameielekeza halmashauri ya Wilaya ya Kasulu kuagiza saruji moja kwa moja kutoka kiwandani.


Mwakisu ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ya wilaya, amekitumia kikao hicho pia kuwashukuru wakazi wa wilaya ya Kasulu kwa ushirikiano wanaompatia katika kutekeleza majukumu mbalimbali ikiwa ni pamoja na yale ya kitaifa.


"Nachukua nafasi hii kuwashukuruni sana wananchi wote wa wilaya ya Kasulu kwa ushirikiano mkubwa mnaonipa, na hata siku nitakapoondoka Kasulu nitakuwa nawakumbuka, kwa hakika mmeniheshimisha," alisema.


Mwakisu aliyataja matukio aliyopewa ushirikiano mkubwa kuwa ni pamoja na ujenzi wa madarasa ya uviko, sensa ya watu na makazi, mbio za mwenge wa Uhuru na ugeni wa mheshimiwa Rais Samia Suluhu alipoitembelea wilaya ya Kasulu Oktoba mwaka huu.


Hatua ya ujenzi iliyofikiwa, vyumba vya madarasa shule ya Sekondari Kimenyi.



Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • PAMBA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

    May 08, 2025
  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.