• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

SERIKALI IMEANDAA MIKAKATI MADHUBUTI KUKABILIANA NA UHARIBIFU WA MAZINGIRA NCHINI

Posted on: June 5th, 2024

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma, Mhe. Kanali Isaac Mwakisu amesema kuwa Tanzania inakabiliwa na tatizo la uharibifu wa mazingira ikiwemo upotevu wa hekta 4600 za misitu kwa mwaka ndio maana serikali imeeandaa mikakati na sera zingine za kukuza uhifadhi na utunzaji wa mazingira.

Kanali Mwakisu ameyabainisha hayo leo Jumanne Juni 5, 2024 wilayani humo kwenye maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani ambayo kiwilaya yalifanyika katika Kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu.

Ambapo amesema kuwa tokea Januari 31, 2024 serikali imetoa katazo kwa taasisi za umma zinazopika chakula cha watu zaidi ya 100 kuacha matumizi ya kuni na badala yake zitumie nishati mbadala ili kusaidia utunzaji wa mazingira.

Aidha,amehimiza jamii ya wakimbizi kuunga mkono juhudi mbalimbali zinazofanywa eneo hilo na serikali, mashirika yote yanayohudumia wakimbizi na wadau wa masuala ya kibinadamu kwa kupanda miti na kutunza vyanzo vya maji vinavyohitaji upandwaji wa miti rafiki inayosaidia ustawi wake.

Mkuu wa Ofisi ya Shirika la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) wilayani Kasulu, Jean Ngomoni amesema kuwa changamoto kubwa iliyo mbele yao kwa mashirika yote yanayofanya kazi ndani ya kambi ni kuicha Nyarugusu ikiwa salama na mazingira yake yakiendelea kutunzwa.

“Serikali inashirikiana na sisi na wenyeji wako tayari kutusaidia pamoja na wakimbizi kuhakikisha Nyarugusu tunaicha salama tunashirikiana nao pamoja na wadau wengine wa maendeleo ambao wapo tayari kutusaidia zikiwemo nchi ya Ubelgiji na Uswidi,” amesema.

Kaimu Mkuu wa Kambi hiyo, Humphrey Mrema amelishukuru Shirika la UNHCR kwa kazi kubwa wanayoifanya kambini humo kwa kuhakikisha mazingira yake yanakuwa salama kutokana na uwepo wa wakimbizi kuchangia kwa kiasi kikubwa uharibifu wa mazingira.

Awali akimkaribisha mgeni rasmi Katibu Tawala wa Wilaya ya Kasulu, Theresia Mtewele amebainisha kuwa mikakati inayofanywa na mashirika mbalimbali kambini humo imesaidia utunzaji wa mazingira kwa kuhamsisha utumiaji wa nishati safi na mbadala za kupikia tofauti na kuni na mkaa.

 

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • KASULU YASHUHUDIA MAENDELEO MAKUBWA MIAKA 61 YA MUUNGANO

    April 26, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.