• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI KASULU DC AMETOA MAELEZO YA UCHAGUZI KWA KUZINGATIA 4R ZA MHE. RAIS

Posted on: September 26th, 2024

Na Mwandishi Wetu, Kasulu


Msimamizi wa Uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, Dkt. Semistatus H. Mashimba ametoa maelekezo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wilayani humo kwa kutumia mfumo unaoakisi 4R za Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kushirikisha makundi tofauti katika jamii.

Tukio hilo limefanyika leo  Alhamisi Septemba 26, 2024  katika Ofisi za Makao Makuu ya Halmashauri hiyo eneo la Nyamnyusi na kuhusisha viongozi wa vyama vya siasa,viongozi wa dini,wazee maarufu,vyama vya wafugaji na wakulima,watendaji wa vijiji na kata pamoja na waandishi wa habari.


 Akizungumza katika tukio hilo Dkt. Mashimba amesema kuwa ni takwa la kisheria lililomtaka kufanya hivyo  ili wananchi wapate maelezo siku 62 kabla ya tarehe ya uchaguzi kwa lengo la kuhakikisha taratibu zote zinafuatwa kwa wapiga kura pamoja na wagombea kupata taarifa zote kwa wakati.

“kampeni zitaanza tarehe 20 hadi 26 Novemba 2024 na uchaguzi utakuwa Novemba 27 mwaka huu kwahiyo tuwaombe vyama vya siasa,viongozi wa dini na wadau wote mliopo hapa tunaomba kipindi hiki kiwe na utulivu na amani kubwa tofauti na mazingira mengine,” amesema.

Naye Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kasulu, Abdallah Kazikwa  ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la Mkazi ambalo ni tofauti na zoezi lililopita la uandikishwaji katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura ili waweze kuitumia haki yao ya msingi ya kuchagua viongozi wanaowafaa.



Kwa upande wao viongozi wa vyama rafiki Wilaya ya Kasulu  wameipongeza Kamati ya Uchaguzi kwa kuwashirikisha katika tukio hilo muhimu huku wakibainisha  kuwa na imani nayo pamojana kutoa ahadi  ya kuipa ushirikiano pale  utakapohitajika.

Katika hatua nyingine Katibu wa Baraza la Machifu Mkoa wa Kigoma,Abel Bussa ametoa rai kwa kila mwananchi mwenye sifa kujitokeza kugombea pamoja na kutoa ahadi ya kwenda kufundisha aliyojifunza leo kwa wengine juu ya umuhimu wa kupiga kura.


 

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • PAMBA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

    May 08, 2025
  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.