• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI KASULU DC AFUNGA UANDIKISHAJI NA KUTAJA SABABU NNE ZA ZOEZI KUFANIKIWA

Posted on: October 21st, 2024

Na Mwandishi Wetu Kasulu


Msimamizi wa Uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, Dkt. Semistatus H. Mashimba  leo Jumatatu Oktoba 21,2024 amefanya mkutano na waandishi wa habari  ambapo kupitia tukio hilo ametaja mambo manne  ambayo halmashauri iliyafanya hadi kufanikisha zoezi  la kuandikisha wapiga kura kwenye Daftari la Mkazi.

 Dkt. Mashimba amesema kitu cha kwanza kilichosaidia zoezi hilo kufanikiwa ni kuzingatia maelekezo ya  Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan yanayotaka utumikaji wa 4R zake katika shughuli zote kubwa za kitaifa zinazoakisi maridhiano, mabadiliko, ustahimilivu na kujenga upya.

-

“Kupitia misingi hiyo katika zoezi la mchakato mzima wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pamoja na uandikishaji katika wilaya yetu tulishirikiana na viongozi wote wa chama na serikali,vyama vyote vya siasa, makundi ya wazee maarufu, vijana na vikundi vya sanaa ili kuhakikisha zoezi linafanikiwa,” amesema.


Pia, amesema kuwa suala la kuzingatia miongozo waliyopewa na viongozi mbalimbali kuanzia ngazi ya mkoa,wilaya pamoja na halamshauri nayo imekuwa sababu mojawapo ya kukamilisha mchakato vizuri.


Aidha, amesema kuwa kitu kingine kilicho fanikisha  zoezi hilo ni miongozo na kanuni iliyoratibiwa  vizuri na  Waziri wa OR Tamisemi, Mhe. Mohamed Mchengengerwa ambayo imesaidia vifaa na fedha kufika kwa wakati na kupelekea mchakato kutokuwa na dosari.


Katika hatua nyingine Dkt. Mashimba amewashukuru waandishi wa habari wilayani Kasulu kwa hamasa kubwa waliyoitoa na kupekea watu kwenda kujiandiskisha na ndio maana hatua moja hadi nyingine ya uchaguzi huo zimekwenda vizuri.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • KASULU DC YAENDELEA KUWAJENGEA UWEZO WALIMU WA MADARASA YA AWALI

    June 03, 2025
  • VIONGOZI WA TAASISI ZA ELIMU NA IDARA YA AFYA KASULU WATAKIWA KUSIMAMIA USAFI WA MAZINGIRA

    June 02, 2025
  • PAMBA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

    May 08, 2025
  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.